
ERIC ten HAG KUIBUKIA MANCHESTER UNITED
ERIC ten Hag anatajwa kuwa kwenye mpango wa kujiunga na Klabu ya Manchester United kwa ajili ya kuinoa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Kwa sasa Hag yupo ndani ya kikosi cha Ajax akiwa ni kocha katika timu hiyo. Inaelezwa kuwa Manchester United wanahiraji kupata huduma yake ili aweze kuwa ndani ya Old Trafford kwa…