SIMBA KUSAJILI WACHEZAJI KUTOKA GHANA, MSUMBIJI
SIMBA kusajili wachezaji kutoka Ghana, Msumbiji dirisha dogo kuimarisha kikosi hicho
SIMBA kusajili wachezaji kutoka Ghana, Msumbiji dirisha dogo kuimarisha kikosi hicho
KOCHA Mkuu wa Al Hilal, Ibenge ameshtuka kuhusu rekodi yake ya kushindwa kupata matokeo akiwa ardhi ya Tanzania jambo ambalo linamfanya ajipage kuikabili Yanga, Oktoba 8,2022 mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika
TAYARI wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika wameanza safari kuibukia nchini Nigeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Rivers United ya Nigeria ambao ni hatua ya robo fainali. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 23,2023 ambapo mchezo huo baina ya Rivers…
BAADA ya kukosa ushindi katika michezo miwili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imepanga kuanza kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco. Simba imevuna pointi mbili pekee ikicheza michezo miwili ya Kundi B katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Jwaneng Galaxy…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utatumia dk 90 kwenye mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Mafunzo kwa ajili ya kuandaa kikosi kazi kitakachomenyana na Azam FC. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imekusanya pointi 48 ikiwa nafasi ya kwanza inatarajiwa kumenyana na Azam FC iliyo nafasi ya 3 na pointi 28 zote zimecheza…
DAKIKA 45 za mwanzo Uwanja wa Nelson Mandela timu zote mbili zimekwenda mapumziko huku Yanga wakiwa mbele. Ni bao la Samson Mbangula wa Tanzania Prisons lilikuwa la kwanza kuwekwa kati dakika ya 9 kisha Salum Feisal alisawazisha dakika ya 23. Dakika ya 43, kiungo Khalid Aucho alifunga bao la pili la kuipa uongozi timu hiyo…
KIUNGO mzawa mali ya Azam FC Feisal Salum MWENYE jumla ya mabao 11 katika orodha ya watupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara anazidi kuonyesha ubora wake kwa vitendo uwanjani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Machi 3 2024 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 4-1 Dodoma Jiji na Fe alitupia mabao mawili….
WIKIENDI hii shughuli zote za michezo zitasimama kupisha dakika tisini za machozi, jasho na damu ambapo wababe wa soka la Tanzania Simba na Yanga watashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mchezo ambao umebeba mambo mengi kuanzia ndani na nje ya uwanja. Ni mchezo ambao umebeba historia kubwa kwa watani hawa ambapo ni bora timu ikose…
BEKI mpya wa Yanga raia wa Mali, Mamadou Doumbia ametamka kuwa yeye sio mtu wa maneno mengi, na mashabiki wasubirie kuona mazuri kutoka kwake. Hiyo huenda ikawa kama salamu kwa washambuliaji wa wapinzani wao, Simba akiwemo mpya Mkongomani Jean Baleke, Moses Phiri na nahodha John Bocco. Doumbia ni kati ya wachezaji watatu wapya waliosajiliwa na…
Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja sasa tengenzeza jamvi lako na upige pesa hapa. Kivumbi kitakuwa pale BUNDSLIGA kwenye mechi hii inayowakutanisha FC Cologne dhidi ya Werder Bremen. Timu hizi zimepishana pointi 10 pekee huku ushindi akipewa mwenyeji ndani…
VIGOGO Bayern Munich hawataacha kulikumbuka jina la Samuel Chukwueze ambaye alipachika bao lililowafungashia virago katika mchezo wa hatua ya robo fainali. Ni Robert Lewandowski mshambuliaji mahiri wa Bayern Munich alipachika bao la kuongoza dk ya 52 ila liliwekwa usawa zikiwa zimebaki dk 2 mpira kufika ukingoni. Villarreal inasonga hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa…
MANZOKI akubali muziki wa Simba, aitabiria makubwa
SABABU kubwa ya Aziz KI kumfuata Heritier Makambo baada ya kufunga bao mbele ya Mtibwa Sugar ni ahadi ambayo alipewa. Mtu wa karibu wa wachezaji hao amesema kuwa Makambo alimuamuambia Aziz KI kuwa atafanya jambo lolote kwenye mchezo huo kufunga ama kutoa pasi. “Makambo alipokuwa benchi alimuambia Aziz KI nenda uwanjani una bao lako hapo…
JOHN Matambala, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wana presha kubwa kwenye ligi pamoja na mechi ambazo wanazicheza kwenye Ligi Kuu Bara. Leo Machi Mosi,2022 Azam FC itawakaribisha Coastal Union kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, ubao ulisoma Coastal…
Kutana na huu mchezo wa kasino mtandaoni kutoka Meridianbet unaitwa Regal Crown 100, kasino hii imetengenezwa na Amigo. Mchezo una majoka ambayo hujikusanya katika nguzo za malipo. Kupitia bonasi ya Pin Win, unaweza kushinda jackpot tatu za kuvutia. Regal Crown 100 ni mchezo wa kasino mtandaoni wenye nguzo tano zilizowekwa katika mistari minne na ina…
WAZIRI wa Maliasili, Dkt Damasi Ndumbaro ameibuka mshindi wa mashindano ya Gofu ya Wabunge ya Afrika Mashariki kwa ushindi wa jumla akiwakilisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri Ndumbaro amepata jumla ya pointi 73 katika ushindi wa jumla zilizofanya aweze kuibuka kidedea. Ndumbaro amesema kuwa ushindani ulikuwa mkubwa kwa kuwa kila mshiriki alikuwa…
Kasino ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua ushindi…