
VITA IPO HAPA YANGA V SIMBA,CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
HAWAAMINI macho yao imefika ukingoni kwa mashabiki wa Simba nao kutoamini walichokiona kwa wachezaji wao kushindwa kufikia lengo la kutinga hatua ya nusu fainali. Kupoteza kwa kufungwa penalti 4-3 mbele ya Orlando Pirates kumezima matarajio ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kutinga hatua ya nusu fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Hesabu zilikuwa…
KIUNGO wa kikosi cha Manchester United, Paul Poga atasepa msimu ujao ndani ya kikosi hicho ambacho kinashiriki Ligi Kuu England. Nyota huyo tayari ameshawaambia wachezaji wenzake kwamba msimu ujao hatakuwa ndani ya timu hiyo. Pia inatajwa kwamba ameshajiondoa kwenye kundi la WhatsApp ambalo lilikuwa linawahusu wachezaji wa timu hiyo. Kocha wa muda wa Manchester United,…
NAHODHA wa kikosi cha Yanga ambaye ni beki Bakari Mwamnyeto amesema kuwa lengo lao kubwa kwa msimu huu wa 2021/22 ni kuweza kutwaa mataji ili kurejesha furaha kwa mashabiki wa Yanga. Ndani ya ligi Yanga ambao ni vinara wa ligi walikuwa ni mashuhuda misimu minne mfululizo ubingwa ukielekea kwa watani zao wa jadi ambao ni…
STAA wa Klabu ya Geita Gold ambaye ni namba moja kwa utupiaji ndani ya timu hiyo anatajwa kuwa kwenye rada za watoza ushuru wanaopiga mpira kodi,mpira mapato Klabu ya KMC. Ni George Mpole ambaye ni mshambuliaji namba moja ndani ya Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Felix Minziro. Kibindoni katupia mabao 10 ndani ya ligi…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unazitaka pointi tatu za watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni Aprili 30,2022 Yanga inatarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua kuhusu umuhimu wa mchezo huo na wataingia uwanjani kwa nidhamu…
Katika kuadhimisha siku ya Malaria Duniani kwa mwaka 2022, kampuni ya michezo ya kubashiri, Meridianbet, imeungana na watanzania na dunia kwa ujumla katika kuongeza nguvu kwenye mapambano makali dhidi ya ugonjwa wa Malaria. Ugonjwa wa Malaria unaripotiwa kuwa chanzo cha vifo vya watoto (hasa wenye umri chini ya miaka 5) na hivyo kwa sehemu kubwa,…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hajui jambo gani ambalo lilitokea kwenye matumizi ya VAR hivyo hapendi kuzungumzia jambo hilo. Simba ilikuwa inawakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa imetolewa kwa kufungwa penalti 4-3 dhidi ya Orlando Pirates baada ya kuwa na jumla ya kufungana bao 1-1. Walianza Simba kushinda mchezo wa kwanza Uwanja…
MUONEKANO wa ukusa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne nakala yake ni 500
KOCHA wa Chelsea, Antonio Conte amethibitisha kuwa beki wa kikosi cha timu hiyo, Antonio Rudiger ataondoka kikosini hapo ifikapo mwisho wa msimu huu. Klabu ya Real Madrid inapewa chapuo la kuinasa saini ya nyota huyo ambaye ana uwezo mkubwa kwenye suala a kutimiza majukumu yake awapo uwanjani. Nyota huyo anatajwa kuondoka bure kwa kuwa dili…
AHMED Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Simba amesema kwa sasa hawafikirii mchezo wao dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Aprili 30,2022. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kuwa na uhitaji wa pointi tatu muhimu za mchezo huo wa ligi. Ally amesema wanatambua mchezo huo upo ila…
FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya Ligi Kuu Bara amesema kuwa mchezo ujao dhidi ya Simba anaamini kwamba akipewa nafasi atafunga. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Yanga, Aprili 30 kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye msimamo Yanga inaongoza ikiwa na pointi 54…
IMEELEZWA kuwa Klabu ya PSG ipo mbioni kumtimua kocha Mauricio Pochettino kutokana na kushindwa kufikia malengo ambayo walikuwa wanahitaji. Kocha ambaye anapewa chapuo la kuwa kocha ndani ya kikosi cha PSG ni Zinedine Zidane pamoja na Antonio Conte. Wikiendi iliyopita Pochettino aliiongoza PSG kutwaa taji la Ligue 1 lakini kocha huyo yupo mbioni kutimuliwa. Uongozi…
UWANJA wa Selhurst mchezo umekamilika kwa Crystal Palace 0-0 Leeds na kuwafanya waweze kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ulikuwa ni mchezo wa kujilnda kwa timu zote mbili na hawakuweza kutengeneza nafasi nyingi kwenye mchezo huo ambao ulikuwa ni mgumu kwa kila timu. Leeds wamekosa pointi tatu ambazo zingewaongozea nguvu ya kujinasua…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa bado haufikirii mchezo wao dhidi ya Yanga kwa kuwa wametoka kucheza mechi kubwa ya hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 24 Uwanja wa Orlando, ubao ulisoma Orlando Pirates 1-0 Simba ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali ya pili na kufanya wawe wamefungana bao…
HABARI mbaya ambazo nimesikia kutoka kwa ndugu zetu KMC ni kwamba wamepata mateso makubwa kwenye suala la mapokezi walipokuwa kwenye mchezo wao dhidi ya Geita Gold. Sina uhakika kama ni hawahawa Geita Gold watakuwa wamefanya hivi ama kuna watu wengine ambao wapo nyuma wakitumia jina la Geita Gold lakini katika hili kwa kweli sijapenda. Ndugu…
IMEELEZWA kuwa kiungo wa kazi aliyewahi kucheza ndani ya Yanga, Mukoko Tonombe yupo kwenye rada za mabosi Azam FC ili kuweza kuinasa saini yake. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kufanya vizuri ndani ya Yanga msimu uliopia wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa nafasi ya pili. Pia alikuwa kwenye kikosi ambacho kiliweza kutinga hatua…