
NYOTA ANAYWENDWA NA SIMBA,YANGA MIKONONI MWA WATOZA USHURU
STAA wa Klabu ya Geita Gold ambaye ni namba moja kwa utupiaji ndani ya timu hiyo anatajwa kuwa kwenye rada za watoza ushuru wanaopiga mpira kodi,mpira mapato Klabu ya KMC. Ni George Mpole ambaye ni mshambuliaji namba moja ndani ya Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Felix Minziro. Kibindoni katupia mabao 10 ndani ya ligi…