
KOCHA NABI APIGA MKWARA KUHUSU UBINGWA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia waache presha anajua jambo la kufanya ili kuweza kutwaa ubingwa wa ligi. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya wapinzani wao Simba walio nafasi ya pili wakiwa na pointi 49 kupata matumaini ya kutetea ubingwa kufuatia Yanga kupata suluhu tatu mfululizo….