
AIR MANULA:TUMEJISKIA VIBAYA KUTOLEWA KIMATAIFA
KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula ambaye alikaa langoni kwenye mechi zote za kimataifa msimu huu wa 2021/22 ambazo Simba imecheza amesema kuwa wamejiskia vibaya kutolewa hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho. Mbele ya Orlando Pirates dk 90 za Uwanja wa Mkapa, Manula aliweza kushuhudia timu yake ikishinda bao 1-0 na walipowafuata…