
MIFUMO MITATU YA SAFU YA USHAMBULIAJI YANGA BALAA
MIFUMO mitatu ya safu ya ushambuliaji Yanga, balaa
MIFUMO mitatu ya safu ya ushambuliaji Yanga, balaa
KUELEKEA mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Polisi Tanzania kuna nyota wawili wa Yanga ambao wanaweza kuukosa mchezo huo. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2021/22 wakiwavua taji hilo watani zao wa jadi Simba. Kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedrick kaze amesema kuwa wanatambua mchezo huo…
CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amewaambia mashabiki kuwa ikiwa Simba watawaambia kwamba wameshinda kwa mabao 3-1 inabidi wawaulize,sawa wanakwenda wapi na pointi tatu wakati tayari bingwa ameshajulikana?
KIUNGO wa kimataifa wa Zambia, Rally Bwalya, juzi Jumapili alicheza mchezo wa mwisho dhidi ya KMC wa Ligi Kuu Bara akiwa Simba baada ya kuitumikia kwa kipindi cha misimu miwili. Bwalya alijiunga na Simba Agosti 2020 akitokea Power Dynamos ya Zambia akisaini mkataba wa miaka mitatu. Katika mchezo wa juzi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar,…
UNAAMBIWA pamoja na Wydad Casablanca na Raja Casablanca zote za Morocco kuhitaji saini ya kiungo raia wa Guinea, Morlaye Sylla, Simba SC imetumia ujanja wa kwenda kuzungumza na familia ya nyota huyo. Sylla msimu huu amekichakaza vilivyo ndani ya kikosi cha Horoya AC ya Guinea, ambayo alijiunga nayo Julai Mosi 2019, kwa mkataba wa miaka…
UNAAMBIWA mchakato wa kupitia wasifu wa kumpata Kocha Mkuu wa Simba atakayerithi mikoba ya Pablo Franco, umekamilika na kwamba, kocha ajaye muda si mrefu atatangazwa kikosini hapo. Hadi kufikia jana, kulikuwa na makocha wawili ambao walikuwa wakiangaliwa kwa mara ya mwisho ili mmoja kupitishwa akiwemo kocha wa zamani wa RS Berkane ya Morocco raia nchi…
NI kama muvi! Ndivyo utakavyoweza kusema baada ya Simba kuwazidi ujanja Azam FC katika usajili wa kiungo mkabaji wa Coastal Union, Victor Akpan na kumpa mkataba wa miaka miwili. Timu hizo mbili zilikuwa katika vita kubwa ya kuwania saini ya kiungo huyo raia wa Nigeria aliyekuwa anawaniwa vikali na Azam katika kuimarisha safu yao ya…
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson ameipongeza timu ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini (Taswa SC) na Bunge SC kwa kupromoti michezo kwa kuonyesha mfano kwa vitendo kwa kucheza katika mechi mbalimbali. Spika Ackson amesema hayo wakati wa mechi maalum ya kirafiki kati ya Taswa SC na Bunge SC…
MENEJA wa wachezaji wa Yanga, Djuma Shabani na Yanick Bangala, anayefahamika kwa jina la Faustino Mukandila, tayari ameshatua jijini Dar kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa timu hiyo ili kuongezewa mikataba kwa nyota wake hao wawili. Djuma Shabani na Bangala wote wamekuwa tegemeo ndani ya Yanga msimu huu ambapo wamefanikiwa kuwa sehemu ya…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele, amesema kuwa baada ya kumaliza zoezi lake la kwanza la kuipa ubingwa timu hiyo, kwa sasa anatafuta zoezi lake la pili la kuhakikisha kuwa anakuwa mfungaji bora mbele ya George Mpole wa Geita Gold ambaye wanafukuzana naye. Mayele na Mpole wote kwa sasa wamelingana katika kugombea tuzo ya ufungaji…
PASCAL Wawa beki wa kati wa Simba leo ameagwa rasmi na mabosi hao kwa kuweka wazi kuwa hataongezewa mkataba mwingine. Taarifa iliyotolewa na Simba leo Juni 21,2022 imeeleza namna hii:”Baada ya kutumikia timu yetu kwa misimu minne, Pascal Wawa hatakuwa sehemu ya kikosi chetu cha msimu ujao. “Mkataba wake utamalizika mwisho wa mwezi huu na…
Bernard Morrison ameuomba Uongozi wa Simba SC umpe Barua ya kumuachia ‘Release Letter’ ili aweze kucheza michuano ya CAF na klabu nyingine msimu ujao Lakini Simba wamemjibu kwa kuwa bado mkataba wake haujamalizika, Utaratibu ni Klabu inayomtaka ndio itume maombi, sio yeye.
Aliyekuwa Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake Tanzania, Twiga Stars, Mwanahamisi Omary Sharuwa amefunguka mambo mbalimbali
Arsenal wanakaribia kumsajili mshambuliaji wa Brazil Raphinha kutoka Leeds United, huku nia ya Barcelona kumnunua mchezaji huyo wa miaka 25 ikiwa imepungua. (Goal – in Spanish) Chelsea wameungana na Tottenham kutaka kumsajili mshambuliaji wa Brazil Richarlison kutoka Everton, ambao wanataka zaidi ya £50m kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25. (Mail) Marina Granovskaia, ambaye…
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Zambia ambaye ni ingizo jipya ndani ya Yanga, Lazarous Kambole, amesema kuwa angependa kutumia jezi namba 7 ndani ya Yanga huku akiweka wazi kuiomba jezi hiyo kwa matumizi ya msimu ujao akiamini kuwa ni namba ambayo anaipenda. Kwa upande wa Yanga, jezi namba 7 ilikuwa ikitumiwa na Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’, ambaye…
LAZAROUS Kambole mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa anapenda kutumia jezi namba 7 kwa msimu mpya wa 2022/23. Raia huyo wa Zambia amesaini dili jipya ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Alitambulishwa ndani ya kikosi hicho Juni 16,2022 ikiwa ni siku moja baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa 28…
SIMBA mpya mbona mtapigwa sana! Hiyo ni baada ya Simba kuweka wazi kuwa watafanya usajili ambao utawafanya msimu ujao kufanya vyema mara baada ya msimu huu kuwa mbaya kwao. Rais wa Heshima, Mohamed Dewji ‘Mo’, ameshashauri kuwa timu hiyo inatakiwa ifumuliwe, na yupo tayari kumwaga pesa za usajili. Tayari Simba imeshamnasa mshambuliaji hatari, Moses Phiri…