Home Sports SAUTI:KMC WAWAHOJI SIMBA POINTI TATU WATAKWENDA NAZO WAPI? Sports SAUTI:KMC WAWAHOJI SIMBA POINTI TATU WATAKWENDA NAZO WAPI? June 21, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amewaambia mashabiki kuwa ikiwa Simba watawaambia kwamba wameshinda kwa mabao 3-1 inabidi wawaulize,sawa wanakwenda wapi na pointi tatu wakati tayari bingwa ameshajulikana?