
DTB SASA NI SINGIDA BIG STARS,WATAMBULISHA KIONGOZI MPYA
RASMI Klabu ya DTB itatumia jina la Singida Big Star baada ya kulitangaza leo Mei 30,2022 na itahamisha makazi kutoka Dar mpaka Singida. Mtendaji Mkuu wa Singida Big Star, Muhibu Kanu amesema kuwa kila kitu kipo sawa na wameamua kubadili jina kutokana na suala la biashara pamoja na uwekezaji. “Tumeamua kubadili jina kutoka DTB na…