
MABINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA RS BERKANE
KLABU ya RS Berkane ya Morroco ni mabingwa wapya wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kushinda kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Sare ya kufungana bao 1-1 iliwafanya waweze kufika hatua ya kupigiana penalti ambapo RS Berkane ilishinda kwa penalti 5-4 za Orlando Pirates. Dakika 90 za awali zilikamilika…