
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
LEO Mei 24 Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wasichana U 17 Serengeti Girls baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Amaan Abeid Karume, Zanzibar wakitokea Cameroon walikokwenda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Cameroon. U 17 waliweza kupeperusha vema Bendara ya Tanzania ambapo walipata ushindi wa mabao 4-1 katika mchezo huo…
SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Yanga ametoa tamko kuhusu Simba ambao wanatarajiwa kukutana nao Mei 28,2022 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wenye pointi 64 wanatarajiwa kuweka kambi mkoani Shinyanga kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba. Huu ni mchezo wa hatua ya nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo mabingwa watetezi ni Simba walitwaa taji hilo walipocheza fainali na Yanga, Uwanja wa Lake…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa haelewi namna mambo yanavyokwenda kwenye timu hiyo hasa katika safu ya ushambuiaji. Simba imekuwa kwenye mwendo wa kusuasa msimu huu wa 2021/22 ipo kwenye nafasi ya kupoteza ubingwa wao wa ligi ambao wanautetea kwa kuwa wameachwa zaidi ya pointi 10 na wapinzani wao Yanga. Ikiwa ipo nafasi ya…
UMAFIA! Ndivyo utakavyoweza kusema, ni baada ya uongozi wa Yanga kubadili kambi mkoani Mwanza ambako watani wao, Simba watapiga hapo kujiandaa na Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama Kombe la FA. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Jumamosi hii katika mchezo huo ambao unatarajiwa kupigwa saa kumi kamili jioni kwenye…
IMEFAHAMIKA kuwa Simba ipo katika mipango ya kumsajili mshambuliaji wa Vipers SC ya Uganda, Yunus Sentamu, ambaye raia wa Uganda. Simba imepanga kukifanyia uboreshaji kikosi chake katika baadhi ya nafasi kati ya hizo ni safu ya ushambuliaji ambayo imeonekana kutokuwa na ubora mzuri. Wakimpata straika huyu inaelezwa kuwa tatizo hilo litakuwa limekwisha rasmi. Sentamu msimu…
NYOTA wa Yanga Fiston Mayele amezidi kutetema baada ya jana kufunga bao lake la 14 ndani ya Ligi Kuu Bara mble ya Biashara United kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ilikuwa ni Mei 23 ambapo mchezo huo ulikuwa ni kasi kubwa dk 45 za mwanzo zilimeguka bila timu hizo kufungana. Katika mchezo huo timu zote…
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Prince Dube anatarajiwa kuukosa mchezo wa leo kati ya Ruvu Shooting v Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mabatini,Pwani. Dube ambaye msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa kwenye ubora mkubwa aliweza kutupia mabao 14 msimu huu ameweza kutupia bao moja na pasi moja ya bao. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Azam…
IMEELEZWA kuwa maosi wa Simba wamekamilishw kwa hatua kubwa usajili wa mshambuliaji Moses Phiri raia wa Zambia ambaye anajiunga na Simba msimu ujao akitokea Zanaco ya nchini kwao. Inaelezwa kwamba, Phiri atakuwa mchezaji wa kwanza kutua Simba kwa wale wapya ambao watajiunga na timu hiyo msimu ujao kutokana na kila kitu kikamilika, anasubiri tiketi tu…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna tatizo ikiwa watapewa taarifa kwamba mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting utapangiwa tarehe nyingine kutokana na taarifa kueeleza kuwa Ruvu Shooting wameomba iwe hivyo. Ruvu Shooting kupitia kwa Ofisa Habari wao, Masau Bwire ameweka wazi kuwa wameiandikia Bodi ya Ligi Kuu Tanzania,(TPLB) barua ya kuomba kupewa muda…
MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa bado wana maumivu ndani yake kwa kuwa walifanya makosa mbele ya Newcastel United ndiyo maana licha ya ushindi mbele ya Everton haukuweza kuwasaidia. Arsenal imemaliza nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kama wangeweza kuchanga karata yao vema wangemaliza nafasi ya nne na kupata fursa…
HUU hapa muonekano wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
Sloti Ya Titan Dice Anza wiki yako ukicheza mchezo wa Titan Dice kwa kujikusanyia mkwanja wa kutosha na kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Wiki yako itakuwa bomba kwa kuchangamkia bonasi na ushindi mkubwa kupitia Meridianbet. Michezo ya Dice (kete) imekuwepo kwa muda mrefu. Kihistoria, mchezo huu ulianzia China. Waandaaji wa kisasa, Expanse Studios wametengeneza Titan…
DAKIKA 90 Uwanja wa CCM Kirumba zimekamilika kwenye moja ya mchezo mzuri wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga na wote kuweza kutoshana nguvu. Ubao umesoma Biashara United 1-1 Yanga ambapo walianza kufunga Yanga kisha Biashara United wao wakaweka usawa. Ilikuwa ni bao la dk ya 74 Fiston Mayele ambaye amefikisha jumla…
DAKIKA 45 za mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga zimemeguka Uwanja wa CCM Kirumba leo Mei 23. Ubao unasoma Biashata United 0-0 Yanga ambapo kila timu inacheza kwa kushambulia na mpira wa pasi nyingi. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wamepiga jumla ya kona mbili ambazo hazijaleta matunda…
KOCHA Mkuu wa Manchester City ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu England amesema kuwa ilikuwa ni pointi nyingi wapinzani wao wamemaliza nazo msimu huu. Ilikuwa ni Liverpool ambao walikuwa wanavutana na Manchester City na tofauti yao ni pointi moja pekee. City imeshinda mchezo wake dhidi ya Aston Villa kwa mabao 3-2 ikiwa Uwanja wa Etihad…