
NGOMA NZITO KAITABA WAGAWANA POINTI MOJAMOJA
DAKIKA 90 zilikuwa nzito kwa Kagera Sugar dhidi ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa ligi baada ya kugawana pointi mojamoja. Ilikuwa ni Uwanja wa Kaitaba ambapo mchezo huo wa ligi ulichezwa Juni 18, 2022 kwenye msako wa pointi tatu kila timu iliambulia moja. Ni bao la Wazir Junior lilikuwa la kwanza kupachikwa kimiani dk ya…