
SAUTI:KMC WATAMBIA USAJILI,WATAJA SABABU YA KUACHA RUDO LA WACHEZAJI
CHRISTINA Mwagala Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kuwaacha wachezaji wengi ni kuweza kujenga timu mpya kwa msimu wa 2022/23
CHRISTINA Mwagala Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kuwaacha wachezaji wengi ni kuweza kujenga timu mpya kwa msimu wa 2022/23
TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Somalia ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu CHAN. Mabao ya Tanzania yamefungwa na Abdul Suleiman dk 33 na Dickson Job dk ya 67. Mchezo wa leo umechezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Stars ilianza kufunga kipindi cha kwanza kupitia kwa Sopu…
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane raia wa Afrika Kusini ameitikia ombi la Klabu ya Yanga na kuthibitisha kuwa atahudhuria katika wiki ya Mwananchi itakayofanyika Agosti 6, 2022 jijini Dar es Salam. Ikumbukwe kuwa, Juni 26, 2022, Pitso aliipongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC na kufanyiwa gwaride…
MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally Jembe ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SportPesa Abas Tarimba amehusika katika kukwamisha dili la Kampuni hiyo yakubashiri na Simba SC. Jembe amesema habari hizo si za kweli licha ya kwamba Tarimba ni mwana Yanga lakini Simba waliachana na dili la SportPesa…
YANGA waingiza bilioni moja kila mwezi,mapya yaibuka usajili wa Manzoki Simba SC,ndani ya Championi Ijumaa
MUDA uliobaki kwa sasa ni wa dhahabu kwa timu zote ambazo zinajiandaa na msimu ujao wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa sasa siku zinahesabiki hasa kuelekea mwanzo wa msimu ujao ukizingatia kwamba Agosti 13 mchezo wa Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa. Huu mchezo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa ligi na…
LEO Julai 28,2022 Yanga imezindua uzi mpya ambao unatarajiwa kutumika kwa msimu wa 2022/23. Kwa mujibu wa Rais wa Yanga,Injinia Hersi Said amesema kuwa uzi huo kwa sasa unapatikana Tanzania nzima. “Jezi yetu mpya ambayo tumeizindua kwa sasa inapatikana kila sehemu kwa wale wa Dodoma wasiwe na mashaka uzi wetu tayari umefika kila sehemu Watanzania…
MWANDISHI Mkongwe wa Habari za Michezo Tanzania, Saleh Jembe amebainisha kuwa kichapo cha mabao 2-0 ambacho Simba wamekipata dhidi ya Haras El Hodoud ya Misri ikiwa ni mchezo wa kirafiki,Jembe ameweka wazi kuwa wamejifunza kwa kuwa wamecheza na timu kubwa
FISTON Mayele nyota wa Yanga ambaye alifunga mabao 16 msimu wa 2021/22 alikuwa ni miongoni mwa mastaa waliokuwepo wakati wa kukabidhiwa milioni 100 na wadhamini wa Yanga, SportPesa Tanzania
FABRICE Ngoma anatajwa kuwa kwenye hesabu za kuwaniwa na Yanga ili aweze kusajiliwa katika kikosi hicho ambacho kimeweka kambi Kigamboni.
ZAKARIA Thabit,Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao wa kirafiki wa kwanza ulikuwa ni mzuri na wana amini kwamba wamepata kitu na sababu ya kupoteza mchezo huo ilitokana na mwamba kuwa kizuizi kwa mashuti ambayo yalikuwa yanapigwa na wachezaji wa timu hiyo
ZORAN Maki, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wake aliopoteza nchini Misri unampa mwanga mpana wa kutambua ubora wa kikosi chake. Maki alishuhudia vijana wake wakinyooshwa kwa kupoteza kwenye mchezo wa tatu wa kirafiki uliochezwa nchini Misri ambapo ni mabao 2-0 walifungwa dhidi ya Haras El Hodoud Katika mchezo wa kwanza waliambulia sare na…
OFISA Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amesema kuwa wamepoteza mchezo wa kwanza wakiwa nchini Misri. Baada ya ubao kusoma Wadi Degla 1-0 Azam FC ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kirafiki,. Timu hiyo imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandaizi kwa ajili ya msimu wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuanza Agosti. Thabit amesema kuwa ulikuwa ni…
AZAM FC leo wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wakiwa nchini Misri ambao ni maalumu kwa ajili ya benchi la ufundi kutazama namna vijana wao walivyoweza kuwa imara. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC ambayo inatarajiwa kutumia siku 20 ikiwa Misri kwa maandalizi ya msimu mpya. Kocha Mkuu wa Azam FC,Abdi Hamid Moallin…
UONGOZI wa KMC umewataka mashabiki wasiwe na presha juu ya usajili wao kwa kuwa wanajua kile ambacho wanafanya. Kwa sasa KMC inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imekuwa ikiwapukutisha mastaa wake ambao mikataba yao imeisha na wengine kupata madili mapya kwa msimu ujao. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wanatambua kile ambacho wanakifanya…
MKUU wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba,Ahmed Ally ameweka wazi kuwa wanatafuta pumzi ya moto ambayo itashushwa Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wao wa Ngao ya Jamii. Simba imeweka kambi Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23 na wanatarajia kurejea Agosti 3 kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day,Agosti 8. Ally amesema…
“HAIWEZEKANI mpira ukaendeshwa kwa kulalamika lalamika, haiwezekani, niwapongeze sana TFF, Bodi ya Ligi na Serikali kwa kusimamia nidhamu ya mpira wa miguu ndani na nje ya uwanja wanatoa sapoti ligi inachezwa…..” Hizo ni baadhi ya kauli za msemaji wa mabingwa wa kihistoria Yanga SC, Haji Manara kipindi akiwa Simba ambapo alionyesha kuchukizwa waziwazi na kitendo…