MWANDISHI Mkongwe wa Habari za Michezo Tanzania, Saleh Jembe amebainisha kuwa kichapo cha mabao 2-0 ambacho Simba wamekipata dhidi ya Haras El Hodoud ya Misri ikiwa ni mchezo wa kirafiki,Jembe ameweka wazi kuwa wamejifunza kwa kuwa wamecheza na timu kubwa