
CRDB WAFURAHIA TUZO,WAIREJESHA KWA WATEJA
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori amefurahia tuzo ya ‘Benki Bora Tanzania’ na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, pamoja na Meneja Mipango ya Biashara Benki ya CRDB Masele Msita. Furaha ya viongozi hao ilikuwa katika hafla ya kuwashukuru wateja na wadau wa Benki hiyo kwa mafanikio…