MAN CITY YAENDELEA KUANDAMWA NA MAUZAUZA KAMA YANGA

Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…

Read More

HII HAPA KAZI YA WANASIMBA, KIMATAIFA KWA MKAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanachama wa Simba leo ni sikukuu yao kwa kufanya mambo makubwa mawili, mapema kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kisha jambo la pili kukutana Uwanja wa Mkapa kuishangilia Simba saa 10:00 jioni. Simba ina inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inakibarua…

Read More

MAJALIWA AHITIMISHA JIMBO CUP RUANGWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo maarufu Jimbo cup kati ya Stand fc na Kiwengwa FC uliofanyika katika uwanja wa mpira wa miguu wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi. Katika mchezo huo uliopigwa Novemba 25, 2024, timu ya kiwengwa Fc iliibuka bingwa baada ya…

Read More

MERIDIANBET YAENDELEA ILIPOISHIA YATOA MSAADA WA VITU TANDALE, DAR

Meridianbet imeendelea ilipoishia kwani tena imefika eneo la Ali Maua Tandale jijini Dar-es-salaam na kufanikiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa familia kadhaa zinazopatikana katika eneo hilo. Kurudisha kwa jamii iliyowazunguka na yenye uhitaji imekua ni moja  ya vipaumbele vikubwa sana kwa mabingwa hao wa michezo ya kubashiri, Kwani wamekua wakifanya hivo kwa miaka mingi…

Read More

KOCHA MPYA YANGA ATAJA NGUZO MUHIMU

IKIWA ni mchezo wake wa kwanza kimataifa akiwa kwenye benchi la ufundi la Yanga, Kocha Mkuu, Sead Ramovic amesema kuwa hakuna staa ndani ya timu hiyo huku nguzo zake kuu anazosimamia ikiwa ni nidhamu na kujituma kwa wachezaji wake. Mchezo wa leo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni ambapo mashabiki wameitwa kujitokeza kwa…

Read More

MWAMBA WA MATUKIO AHOUA, KAZI IPO KWA MKAPA

KWENYE mchezo dhidi ya Pamba Jiji Novemba 22 2024 nyota wa Simba, Jean Ahoua anaingia kwenye orodha ya wachezaji waliopoteza pasi nyingi katika dakika 45 ambazo alicheza. Hajawa katika utulivu mchezaji wa matukio muhimu lakini katika ukabaji bado hajawa imara anapaswa kuongeza juhudi zaidi. Miongoni mwa dakika ambazo alipoteza pasi ilikuwa dakika ya 15, 16,…

Read More

BETI NA MERIDIANBET MECHI ZA UEFA LEO

UEFA leo ni moto kwelikweli kwani mechi kibao zinapigwa kwenye viwanja mbalimbali. Nani kukupa pesa Jumanne ya leo?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Mtanange wa mapema ni huu wa AC Milan ambaye atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Slovan Bratslava ambaye ndiye kibonde wa michuano hii akiwa kafungwa mechi zote hadi sasa….

Read More

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unatambua ugumu uliopo kwenye mchezo wao dhidi ya Bravos ya Angola ila mpango mkubwa ni kupata pointi tatu Uwanja wa Mkapa. Ni Novemba 27 2024 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa ikiwa ni hatua ya makundi. Simba ipo chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyetoka kuvuna pointi tatu kwenye mchezo wa…

Read More

YANGA YAWAITA MASHABIKI KIMATAIFA

NAHODHA wa Yanga, Bakari Nondo amesema kuwa matokeo yaliyopita kwenye mechi za ligi hayajawaondoa kwenye reli hivyo watapambana kupata matokeo kwenye mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Yanga kwenye mechi mbili za ligi mfululizo ambazo ni dakika 180 ilipoteza ilikuwa Yanga 0-1 Azam FC kisha kete ya pili…

Read More

MGENI RASMI SIMBA KIMATAIFA NOMA, KAZI INAENDELEA

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa Simba dhidi ya Bravos mgeni rasmi wa mchezo huo ni pasua kichwa kuwa hayupo kwenye orodha ya wachezaji yeye ni Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ipo kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili…

Read More

DIARRA KAKIMBIZA KINOMA YANGA

MWAMBA Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga msimu wa 2024/25 amekimbiza kwa kutimiza majukumu yake akiwa langoni kwa kuanza jumla ya mechi 9 kikosi cha kwanza. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mechi 10 wamecheza kwenye ligi na ushindi ni mechi 8 huku kichapo ikiwa ni kwenye mechi mbili ambazo zote alianza langoni Diarra. Katika mechi…

Read More

Meridianbet Inasema Pinga Ukatili kwa Wanawake Okoa maisha

Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, Meridianbet inaungana na watu wote kuhakikisha kuwa inasimama ngangari kuwalinda wanawake wote. Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, inayofanyika kila mwaka tarehe 25 Novemba ambapo katika kuadhimisha siku hii muhimu, Meridianbet imezindua kampeni maalum ya kijamii ya “PINGA UKATILI, SIMAMA NA…

Read More

Maliza Wikendi Yako Ukiwa na Jamvi la Meridianbet

Wikendi ndio hiyo inaenda kuisha hivyo, kama jana ulikosa pesa basi unaweza ukajaribu leo henda leo ndio bahati yako kwani timu kibao zinaingia uwanjani kusaka pointi tatu. Wewe unasubiri nini kusaka pesa? Kivumbi kitakuwepo leo hii kwenye LALIGA  ambapo CA Osasuna atamkaribisha kwake Villarreal ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 3 pekee huku mara…

Read More