HAWA HAPA WAITWA STARS,MKUDE,SAMATAA NDANI
LEO Machi 15,2022 Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Kim Poulsen ametangaza rasmi orodha ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki zilizo kwenye kalnda ya FIFA. Nyota hao ni pamoja na:-Aishi Manula wa Simba Metacha Mnata wa Polisi Tanzania Aboutwalib Mshery wa Yanga hawa ni kwa upande…