Home Sports VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ISHU YA TUZO YA UFUNGAJI BORA

VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ISHU YA TUZO YA UFUNGAJI BORA

MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anaamini anaweza kuwa mfungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22.

Machi 14,2022 Mayele alikabidhiwa zawadi yake ya Ng’ombe na shabiki wa Yanga wa Morogoro baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi na kwa sasa tayari amekabidhiwa zawadi hiyo.

Previous articleTUCHEZE MPIRA KWA AFYA,ULINZI NI MUHIMU
Next articleHAWA HAPA WAITWA STARS,MKUDE,SAMATAA NDANI