BAO LA SAKHO LACHAGULIWA KUWA BAO BORA LA WIKI

PAPE Sakho kiungo mshambuliaji wa Simba bao alilowatungua RS Berkane limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho. Pape alipachika bao hilo Uwanja wa Mkapa, Machi 13 wakati Simba ikivuna pointi tatu mazima. Ilikuwa dakika ya 44 Sakho alifanya hivyo baada ya kupokea pasi kutoka kwa Meddie Kagere. Kabla ya kufunga…

Read More

AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1,DUBE ATUPIA

AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unemalizwa ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza baada ya mabao matatu kufungwa. Namungo FC walianza kutupia bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Mohamed Issa likasawazishwa na Prince Dube dk ya 22….

Read More

YANGA YAKUSANYA MILIONI 41

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupitia mchezo wa Hisani kati ya Yanga v Timu ya Taifa ya Somalia ni milioni 41 zimekusanywa. Yanga ilicheza mchezo wa kirafiki wa hisani ilikuwa dhidi ya Timu ya Taifa ya Somalia ulichezwa Uwanja wa Azam Complex. Manara amesema:”Mchezo uliochezwa Jumamosi iliyopita kwa ajili ya kuchangia taasisi…

Read More

PRISONS:BADO TUNATENGENEZA TIMU

SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons amesema kuwa bado wanatengeneza timu hivyo wana imani ya kuweza kufanya vizuri kwenye mechi zao zilizobaki. Ikiwa Uwanja wa Karume, Mara Machi 15,2022 ilikubali kushuhudia ubao ukisoma Biashara United 2-1 Tanzania Prisons. Ni mabao ya Deogratius Mafie kwa upande wa Biashara United yalipachikwa kimiani dakika ya 26 na…

Read More

SIMBA WAANZA KUPIGA MATIZI UPYA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco wameanza mazoezi ili kuweza kujiweka sawa kwa mechi zijazo za Ligi Kuu Bara pamoja na zile za kimataifa.  Machi 13,2022 Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 kukamilika ubao ulisoma Simba 1-0 RS Berkane na kuwafanya Simba kubaki na pointi tatu…

Read More

VIDEO:MCHAKATO WA MABADILIKO YANGA UPO HIVI

SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Yanga ameweka wazi kwamba mchakato wa kuelekea kwenye mabadiliko ndani ya timu hiyo unaendelea vizuri na ambacho kipo kwa sasa ni kuweza kukamilisha suala zima la uchaguzi. Pia amebainisha kuwa jambo ambalo linatazamwa kwa ukaribu kabla ya uchaguzi ni kukamilika kwa usajili wa matawi na wale ambao watakamilisha…

Read More

KOCHA AZAM FC:TUTAREJESHA BURUDANI MBELE YA NAMUNGO

MACHI 16,2022 leo kikosi cha Namungo FC kitawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 jioni ukisubiriwa kwa shauku na mashabiki wa timu zote hizo kubwa Bongo. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Azam…

Read More

MANCHESTER UNITED MAJANGA HUKO,KOSA LAO LATAJWA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa walishindwa kutumia vizuri nafasi ambazo walizipata kipindi cha kwanza jambo ambalo liliwafanya wapoteze mchezo wao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Old Trafford ulisoma Manchester United 0-1 Atletico Madrid. Matokeo hayo yanaiondoa mazima United katika UEFA Champions League kwa jumla ya mabao 1-2 ambayo…

Read More

NYOTA ASHA WA YANGA PRINCESS KUCHEZA ULAYA

NYOTA wa kikosi cha Yanga Princes, Aisha Khamis Masaka amepata dili la kucheza soka la kulipwa katika Klabu ya BK Hacken FF ya nchini Sweden. Nyota huyo ni miongoni mwa mastaa ambao walikuwa wakifanya vema kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania na alikuwa anaitwa Asha Magoli kutokana na uwezo wake wa kucheka na nyavu. Taarifa rasmi…

Read More

WAWILI WASHINDA MAMILIONI YA BETBONANZA

JUMLA ya washindi Wawili kutoka Vodacom na Airtel leo Jumanne asubuhi wameibuka washindi wa vitita vya Shilingi Milioni Moja kila mmoja katika droo ya kwanza ya wiki ya Bet Bonanza ya Sportpesa huku akiwataja washindi hao ni Seif Ramdshani wa Shinyanga na Nyange kutoka Tabata. Droo hiyo ni sehemu ya promosheni ya Bet Bonanza ya…

Read More

ERICKSEN AREJESHWA TIMU YA TAIFA YA DENMARK

CHRISTIAN Ericksen amejumuishwa katika orodha ya kikosi cha timu ya Taifa ya Denmark ambao watacheza mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Netherlands Machi 26. Pia atakuwa katika kikosi ambacho kinatarajiwa kucheza dhidi ya Serbia wakiwa nyumbani Machi 29,2022. Kiungo huyo wa Brentford amerejeshwa kikosini mara ya kwanza tangu alipopata tatizo katika Euro 2022 katika…

Read More

YANGA WAPANIA KUBEBA UBINGWA,MSAKO WAO UPO HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu zao ni kuweza kupata pointi tatu kwenye mechi zinazofuata za ligi ikiwa ni pamoja na mechi ijayo dhidi ya KMC inayotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Injinia Hersi Said amefichua siri mbili ambazo wanazitumia kusaka ubingwa msimu huu waliodhamiria huku akibainisha kuwa ni lazima wabebe taji la Ligi Kuu…

Read More