JEMBE:TARIMBA HAHUSIKI SIMBA KUJIONDOA SPORTPESA

MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally Jembe ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SportPesa Abas Tarimba amehusika katika kukwamisha dili la Kampuni hiyo yakubashiri na Simba SC. Jembe amesema habari hizo si za kweli licha ya kwamba Tarimba ni mwana Yanga lakini Simba waliachana na dili la SportPesa…

Read More

MUDA WA DHAHABU UMEBAKI UTUMIKE KWA UMAKINI

MUDA uliobaki kwa sasa ni wa dhahabu kwa timu zote ambazo zinajiandaa na msimu ujao wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa sasa siku zinahesabiki hasa kuelekea mwanzo wa msimu ujao ukizingatia kwamba Agosti 13 mchezo wa Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa. Huu mchezo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa ligi na…

Read More

UZI MPYA WA YANGA UNAPATIKANA KILA KONA SASA

LEO Julai 28,2022 Yanga imezindua uzi mpya ambao unatarajiwa kutumika kwa msimu wa 2022/23. Kwa mujibu wa Rais wa Yanga,Injinia Hersi Said amesema kuwa uzi huo kwa sasa unapatikana Tanzania nzima. “Jezi yetu mpya ambayo tumeizindua kwa sasa inapatikana kila sehemu kwa wale wa Dodoma wasiwe na mashaka uzi wetu tayari umefika kila sehemu Watanzania…

Read More

SIMBA WAONJA JOTO YA JIWE WANYOOSHWA KWA KUCHAPWA 2-0

ZORAN Maki, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wake aliopoteza nchini Misri unampa mwanga mpana wa kutambua ubora wa kikosi chake. Maki alishuhudia vijana wake wakinyooshwa kwa kupoteza kwenye  mchezo wa tatu wa kirafiki uliochezwa nchini Misri ambapo ni mabao 2-0 walifungwa dhidi ya Haras El Hodoud Katika mchezo wa kwanza waliambulia sare na…

Read More

AZAM KUKIWASHA LEO MISRI KWA MARA YA KWANZA

AZAM FC leo wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wakiwa nchini Misri ambao ni maalumu kwa ajili ya benchi la ufundi kutazama namna vijana wao walivyoweza kuwa imara. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC ambayo inatarajiwa kutumia siku 20 ikiwa Misri kwa maandalizi ya msimu mpya. Kocha Mkuu wa Azam FC,Abdi Hamid Moallin…

Read More

KMC YASHUSHA PRESHA KWA MASHABIKI WAKE

UONGOZI wa KMC umewataka mashabiki wasiwe na presha juu ya usajili wao kwa kuwa wanajua kile ambacho wanafanya.  Kwa sasa KMC inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imekuwa ikiwapukutisha mastaa wake ambao mikataba yao imeisha na wengine kupata madili mapya kwa msimu ujao. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wanatambua kile ambacho wanakifanya…

Read More

SIMBA WAIVUTIA KASI YANGA NGAO YA JAMII

MKUU wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba,Ahmed Ally ameweka wazi kuwa wanatafuta pumzi ya moto ambayo itashushwa Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wao wa Ngao ya Jamii. Simba imeweka kambi Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23 na wanatarajia kurejea Agosti 3 kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day,Agosti 8.  Ally amesema…

Read More

MANARA ANAVYOGOMBANA NA MANARA MWENYEWE

“HAIWEZEKANI mpira ukaendeshwa kwa kulalamika lalamika, haiwezekani, niwapongeze sana TFF, Bodi ya Ligi na Serikali kwa kusimamia nidhamu ya mpira wa miguu ndani na nje ya uwanja wanatoa sapoti ligi inachezwa…..” Hizo ni baadhi ya kauli za msemaji wa mabingwa wa kihistoria Yanga SC, Haji Manara kipindi akiwa Simba ambapo alionyesha kuchukizwa waziwazi na kitendo…

Read More