NAMUNGO YAMPA TABU KIPA WA KMC

ENEO ambalo KMC wanapaswa kuboresha na kuongeza nguvu kwa mzunguko huu wa pili ni ulinzi ikiwa ni beki na mlinda mlango. Kipa wao namba moja David Kissu amekuwa akifanya makosa mengi yakizembe akiwa langoni hasa kutokana na maamuzi yake yanayoigharimu timu. Alipata tabu akiwa langoni kutokana na kutunguliwa mabao akiwa langoni. Anaingia kwenye orodha ya…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA KUREJEA KAZINI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Yacouba Songne anaweza kurejea uwanjani muda wowte kuanzia sasa baada ya kuwa nje kwa muda akitibu goti. Yacouba aliumia katika mchezo dhidi ya Geita Gold Oktoba 2, mwaka jana ambao Yanga waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Jesus Moloko ambapo yeye alitoa pasi ya bao hilo. Daktari wa Yanga, Youssef…

Read More

AZAM FC WATAMBA KUENDELEA NA KASI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utaendelea na kasi yao kwenye mechi zijazo za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 kutokana na ubora walionao. Ipo wazi kwamba Azam FC ni timu ya kwanza kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi walipokutana mzunguko wa kwanza Uwanja wa Azam Complex Novemba 2…

Read More

MAYELE LIMEMKUTA JAMBO HUKO

BAADA ya kuona mabeki wa timu pinzani wakimkamia kila wanapokuwa uwanjani, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemtaka straika wake, Fiston Mayele kuhakikisha hakai na mpira mguuni kwa muda mrefu ili kujiepusha na kupata majeraha yatakayoigharimu timu. Mayele ndiye straika tegemeo kwenye kikosi cha Yanga akiwa kinara wa mabao akifunga sita ndani ya Ligi Kuu Bara, huku wikiendi iliyopita akifunga bao pekee kwenye ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbao FC na kufuzu…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa kuna ushindani mkubwa ndani ya uwanja jambo ambalo wanafanya kazi kila wakati kuhakikisha wanakuwa bora wakiwa kwenye hesabu za kucheza ugenini kimataifa mchezo ujao. Fadlu amekiongoza kikosi cha Simba katika mechi 11 za ligi ushindi mechi 9, sare moja na kichapo ilikuwa dhidi ya Yanga, Uwanja…

Read More

SIMBA: TUMEUMIZWA VIBAYA MNO

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba umeumizwa vibaya kukwama kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ilikuwa ni kwenye CRDB Federation raundi ya nne ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 1-1 Simba na kwenye penalti ilikuwa Mashujaa 6-5 Simba. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba…

Read More

HASSAN DILUNGA APEWA TUZO YAKE HUKO MSIMBAZI

HASSAN Dilunga kiungo wa wa Wekundu wa Msimbazi, Simba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Oktoba inayodhaminiwa na Emirates Aluminium ACP kwa kuwashinda Sadio Kanoute na Rally Bwalya aliokuwa nao fainali.   Kwa mwezi Oktoba, Dilunga amekuwa ni chaguo la kwanza kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alianza pia kwenye mchezo walionyooshwa…

Read More

MAYELE KAMILI KUIKABILI GEITA GOLD

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Ngoma inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kusaka pointi tatu. Mayele amesema:”Ni mchezo muhimu kwetu na tunahitaji kupata pointi tatu mashabiki wawe…

Read More

MABOSI AZAM FC WAMPA DUBE MASHARTI MAWILI ASEPE

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna taizo na mchezaji wao Prince Dube ambaye anahitaji kuondoka ni machaguo mawili anayo kuyafanya kwa sasa kuendelea na maisha yake ya soka bila tabu. Ipo wazi kwamba Dube ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24 kafunga jumla ya mabao saba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kuibukia ndani…

Read More