
VIDEO:TAZAMA NAMNA KISINDA ALIVYOTUA BONGO
KIUNGO wa Yanga, Tuisila Kisinda kwa sasa yupo ndani ya ardhi ya Tanzania baada ya kusajiliwa kwenye kikosi hicho na alikuwa miongoni mwa walioshuhudia mchezo wa ligi kati ya Yanga 2-2 Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa.