Home Sports VIDEO:TAZAMA NAMNA KISINDA ALIVYOTUA BONGO

VIDEO:TAZAMA NAMNA KISINDA ALIVYOTUA BONGO

KIUNGO wa Yanga, Tuisila Kisinda kwa sasa yupo ndani ya ardhi ya Tanzania baada ya kusajiliwa kwenye kikosi hicho na alikuwa miongoni mwa walioshuhudia mchezo wa ligi kati ya Yanga 2-2 Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa.

Previous articleRATIBA LIGI UUU BARA LEO
Next articleVIDEO:MBOTO ATEMA CHECHE SARE YA YANGA V AZAM FC