
KUWAONA MAYELE,AZIZ KI, DUBE NI BUKU TANO
SEPTEMBA 6, Uwanja wa Mkapa, ni Dar Dabi kati ya Yanga v Azam FC, ambapo kuwaona mastaa wa timu hizo mbili wakisaka ushindi ikiwa ni pamoja na Dennis Nkane, Fiston Mayele, Bernard Morrison na Aziz Ki kwa Yanga ni buku tano, (5,000). Kwa upande wa Azam FC ambao ni wageni kwenye mchezo huo wapo nyota…