Home Sports RATIBA YA MECHI ZA YANGA SEPTEMBA Sports RATIBA YA MECHI ZA YANGA SEPTEMBA September 4, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp HII hapa ratiba ya Yanga, ndani ya mwezi Septemba mechi za kitaifa na kimataifa zipo namna hii:- Septemba 6,2022, Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku. Septemba 10,2022, Uwanja wa Azam Complex, saa 10:00 jioni, Zalan v Yanga mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 13,2022, Uwanja wa Mkapa, Yanga v Mtibwa Sugar, saa 1:00 usiku. Septemba 17,2022, Uwanja wa Mkapa, Yanga v Zalan, Uwanja wa Mkapa, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 29,2022, Ihefu v Yanga, Uwanja wa Highland Estate.