MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU MEI 2025, YAPO HAPA

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika mwezi Mei 2025. Matokeo hayo yanapatikana kupitia tovuti rasmi ya NECTA (www.necta.go.tz), ambapo wanafunzi na walimu waliohusika wanaweza kuyatazama kwa kutumia namba za mtihani au majina ya shule na vituo husika. Kwa mujibu…

Read More

MPANZU WA SIMBA SC KWENYE RADA ZA WAARABU

INAELEZWA kuwa winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids ndani ya kikosi cha Simba SC, Ellie Mpanzu yupo kwenye rada za RS Berkane,Waarabu wa Morocco. Mpanzu ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa tegemeo katika kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye anga la kimataifa na kitaifa. Ndani ya ligi rekodi zinaonyesha kuwa alicheza…

Read More

AZIZ KI WA YANGA SC KUCHEZA HAPA BONGO

MFUNGAJI bora ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika, Aziz Ki msimu wa 2023/24 huenda akarejea kwa mara nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania. Ki alifunga jumla ya mabao 21 alipokuwa namba moja. Timu ya Yanga SC ilitwaa ubingwa wa ligi na Azam FC ilikuwa nafasi ya pili. Mei 24 2025 Ki alitoa Thank…

Read More

JISHINDIE TZS 1.5 BILIONI NA MERIDIANBET KUPITIA LUCKY RUSH TOURNAMENT

Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kushiriki Lucky Rush Tournament, promosheni ya kusisimua iliyoanza tarehe 27 Juni hadi 3 Agosti 2025. Promosheni hii inatoa zawadi za pesa taslimu TZS 1.5 bilioni, zikigawanywa katika mashindano matano ya leaderboard, kila moja ikiwa na TZS 300 milioni kwa washindi 5,000. Ili kushiriki, wachezaji wanahitaji kujiandikisha (opt-in) kwa…

Read More

BABA MZAZI WA MBWANA SAMATTA AFARIKI DUNIA

Baba mzazi wa mchezaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, Mzee Ally Samatta, amefariki dunia asubuhi ya leo, Julai 6, 2025. Msiba upo Mbagala, jijini Dar es Salaam, ambapo familia, ndugu, jamaa na marafiki wamekusanyika kuomboleza msiba huo mzito. Timu ya Global TV ipo eneo la tukio na itaendelea kukuletea taarifa kamili kuhusu msiba…

Read More

AZAM FC YAMTAMBULISHA KOCHA IBENGE KWA KISHINDO!

Klabu ya Azam FC leo Julai 5, 2025 imemtambulisha rasmi Florent Ibenge kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, kupitia ukurasa wao wa Instagram kwa ujumbe mfupi lakini mzito uliosema: “Karibu Azam FC, kocha bora Afrika – Florent Ibenge.” Utambulisho huo umethibitisha kile ambacho mashabiki wa soka walikuwa wanakisubiri kwa hamu: ujio wa kocha mwenye…

Read More

HILI HAPA JAMBO KUBWA LINAFUATA KWA AZAM FC

MATAJIRI wa Dar Azam FC wanakuja na jambo kubwa jingine ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Azam FC imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2024/25 ikiwa na pointi 63 itashikriki Kombe la Shirikisho Afrika tayari imeanza kutambulisha wachezaji wake wapya. Julai 3 2025 ilimtambulisha beki mzawa kutoka Coastal Union,…

Read More