
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA BIG BULLETS
SIMBA leo Septemba ina kibarua cha kutupa kete ya awali kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Big Bullets. Hiki hapa kikosi cha kwanza cha Simba kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Mwenda Mohamed Hussein Outtara Inonga Kanoute Sakho Mzamiru Phiri Chama Kibu Akiba Beno Nyoni Kennedy Okwa Okra Dejan Bocco Banda