WAPINZANI wa Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Zalan FC wanatarajiwa kuwasili leo Dar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 10,2022 ambapo Zalan wao watakuwa wenyeji wa mchezo huo