
JEMBE AMPA USHAURI HUU BM 3
MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…