
KWA MIPANGO HII YANGA INATOBOA CAF, SIMBA HAKUNA KULAZA DAMU
KWA mipango hii, Yanga inatoboa CAF, Simba SC hakuna kulaza damu ndani ya Spoti Xtra, Alhamisi
KWA mipango hii, Yanga inatoboa CAF, Simba SC hakuna kulaza damu ndani ya Spoti Xtra, Alhamisi
MVURUGANO ambao huwa unapatikana baada ya matokeo yasiyotarajiwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania kwenye benchi la ufundi pamoja na wachezaji huwa unakuwa sio wa kawaida. Hii inatokea kwa sababu kila mmoja anapoingia uwanjani mpango wake ni kuona timu inapata matokeo na pale inaposhindikana. Uzuri ni kwamba mchezo wa mpira ni mchezo wa…
UONGOZI wa Simba unatajwa kuingia chimbo kumsaka mrithi wa Zoran Maki na kwa sasa Simba ipo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda ambaye ameiongoza timu hiyo kwenye mechi tatu, Meneja wa Habari na Mawasiliano ndani ya Simba Ahmed Ally amebainisha kuwa mchakato wa kumsaka kocha mpya umeanza
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting ameweka wazi kuwa msimu huu wamejipanga kufanya vizuri kwenye mechi zao zote watakazoshuka uwanjani. Bwire ameongeza kuwa msimu huu ni tofauti na uliopita jambo linawapa nguvu ya kuongeza juhudi ili kuleta ushindani. “Msimu huu ni watofauti na kila timu inahitaji ushindi nasi tupo tayari ukizingatia kwamba tumefanya usajili…
NEMBO ya Relliats Lusajo ukifika Uwanja wa Mkapa utaiona juu ikiwa metulia, fahari kubwa kwa anachokifanya ni jambo la kujivunia kwa mzawa huyu. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 alianza kwa kasi ya namna hii kwenye kucheza na nyavu mwisho akagotea namba 10. Pia alikuwa ni namba moja kwenye kutengeneza mabao alitengeneza pasi 6 za mabao…
HONOUR Janza, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wtacheza kwa kujiamini kwenye mechi za kirafiki za kimataifa zilizo kwenye Kalenda ya FIFA ili kupata matokeo. Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya ambazo zitachezwa nchini Libya na kikosi hicho kilikwea pipa jana, Septemba 20…
Bwana sloti, leo nimekuja na habari njema kabisa kwa wapenzi wa gemu za simu na gemu za mtandaoni! Bila shaka ungependa kulipwa kwa kufurahia wakati ukipoteza mawazo, hii unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Kutoka studio za mabingwa wa sloti za mtandaoni, Meridianbet tunakupatia uhalisia wa The Pirates kwenye sloti ya Pirates Power,…
MWANDISHI mkongwe wa masuala ya michezo Afrika Mashariki na Kati, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa kimataifa sio kwepesi ni lazima kwa Yanga kujifunza ili kupata matokeo kwenye mechi zote watakazocheza
WAZAWA wawili ambao kwa sasa wanakinoa kikosi cha Simba wote wameanza mwendo wao kwa kasi nzuri wanastahili pongezi na kuongza juhudi zaidi katika kutimiza majukumu yao. Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameanza kibarua kwenye nyakati ngumu kwa kuwa timu ilikuwa bado haijaungana na muunganiko wake ulikuwa unatafutwa. Kuondoka kwa Zoran Maki na mikoba yake kuwa mikononi…
LEGEND wa soka Bongo, Ally Maya Tembele amebainisha kuwa taarifa za kuteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Tanzania zilimfikia kwa kustukizwa na hakuwa na tetesi za kuwa atapewa nafasi hiyo. Septemba 20 Mayay aliteuliwa kuchukua nafasi ya Yusuph Singo aliyepangiwa majukumu mengine. Mayay alibainisha hayo alipokuwa mubashara kwenye kipindi cha Krosi…
MBINU 4, Al Hila wanakufa, Ibenge ashtuka awa mpole, kocha Msauz aomba kazi Sima SC ndani ya Championi Jumatano
SENZO CEO aibuka tena Yanga, Al Hilal wamrudisha Yanga nyumbani afunguka haya CAF
KMC leo imepata ushindi wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Uhuru kusoma KMC 2-1 Ihefu FC. Ni mshambuliaji mzawa, Matheo Anthony alipachika bao la mapema dakika ya 3 huku Raphael Daud dakika ya 34 aliweka usawa kwa Ihefu na kuwafanya waende mapumziko wakiwa wametoshana nguvu. Kipindi…
MWANDISHI mkongwe katika masuala ya michezo Afrika Mashariki na kati ameweka wazi kuwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Zalan FC na Yanga umekwisha, Yanga walipata bahati kwa kuwa hawakupata timu ngumu kimataifa hilo limewasaidia kujipanga kuwa vizuri na hata Simba ingewapata hao ingepata bahati. Kuhusu de Agosto ya Angola ambao ni wapinzani wa…
SHABIKI wa Yanga amesema kuwa Fiston Mayele angepata nafasi ya kucheza dhidi ya Big Bullets angewafunga mabao mengi, amebainisha kuwa Yanga ni timu kubwa huku akibainisha kuwa mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri ni moja ya washambuliaji wazuri huku mzungu wa Simba akiwa ni wakawaida kwani hata Zawad Mauya huwa anafanya hivyo
ANAZIDI kuimarika akiwa langoni, Aboutwalib Mshery na alipewa dakika 90 mbele ya Zalan FC mchezo wa kwanza na ule wa pili alitumia dakika 45. Sababu ya kupewa nafasi kikosi cha kwanza ni kutokana na maumivu ambayo alikuwa nayo kipa namba moja, Diarra Djigui hivyo kazi ikawa kwake kutimiza majukumu ya timu. Kutinga hatua ya awali…
DAKIKA 180 kimataifa dhidi ya Nyassa Big Bullets lango la Simba lilikuwa salama chini ya kiongozi Aishi Manula aliyekuwa langoni. Huyu ni kipa namba moja ambaye anazidi kuwa imara kila anapokaa langoni na huwa anafanya makosa ambayo yanapelekea kufungwa. Kufungwa haina maana kwamba hayupo imara hapana ni matokeo ambayo yanatokea uwanjani na wakati unakuja anafanyia…