
VIDEO:JEMBE AMVAA BARBARA/MANZOKI,SAIDO NDANI SIMBA
JEMBE azungumzia ishu ya makundi, amvaa Barbara/Manzoki, Saido ndani Simba
JEMBE azungumzia ishu ya makundi, amvaa Barbara/Manzoki, Saido ndani Simba
KLABU ya Yanga kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika imedondokea kundi D ambalo lina timu nne ikiwa ni pamoja na wawakilishi hawa kutoka Tanzania. Timu nyingine ambazo zipo kwenye Kundi D ni TP Mazembe, US Monastir na Real Bamako. Ikumbukwe kwamba US Monastri wao waliwafungashia virago RS Berkane huku Mazembe wao waliwahi kukutana…
MOJA ya msimu wenye ushindani mkubwa ndani ya ligi ni pamoja na huu ambao unaendelea kwa sasa 2022/23 kutokana na timu kujipanga kufanya vizuri. Benchi la ufundi, uongozi pamoja na mashabiki muda wa kujipanga kwa makosa ya mzunguko uliopita ni sasa na itasaidia kuwa kwenye ushindani mzuri. Kinachowakasirisha mashabiki ni timu kushindwa kupata kile inachostahili…
KITASA hiki cha kazi kutoka DR Congo kupewa mkataba Simba
STAA wa timu ya Taifa ya Argentina Lionel Messi endapo atafanikisha kukiongoza kikosi chake leo Desemba 13,2022 kutinga hatua ya Fainali ya Kombe la Dunia ataandika rekodi yake nyingine kwenye upande wa michuano hiyo mikubwa. Messi ambaye ni nahodha wa Timu ya Taifa ya Argentina leo ana kazi ya kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa umepokea CV za makocha kutoka maeneo mbalimbali kwa makocha wenye uzoefu huku wazawa wakiwa ni wawili. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Kaimu Kocha, Kali Ongala ambaye ameweka rekodi ya kuiongoza timu hiyo kwenye mechi 8 mfululizo za ligi kwa kushinda zote na kukomba pointi 24. Hasheem…
WAWAKILISHI wa Tanzania, Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi wamedondokea kundi C. Droo ilichezeshwa nchini Misri Desemba 12,2022 ambapo kila mmoja amejua mpinzani wake atakuwa ni nani. Katika makundi hayo Simba ipo pamoja na timu za Raja Casablanca, Horoya na Vipers ya kutoka Uganda. Ratiba ya Simba kimataifa inatarajiwa kuwa namna hii:-Feb…
LUIS ni Simba tena, Nabi apewa rungu Yanga ndani ya Spoti Xtra, Jumanne
Michuano ya kombe la dunia imefikia patamu sana, hatua ya Nusu Fainali timu zilikuwa 32 na hatimaye sasa zimesalia timu 4, mbili zikitoka bara la Ulaya, moja Amerika Kusini na Moja ni kutoka Afrika. Argentina vs Croatia, Morocco vs Ufaransa. Mchanganuo wa ODDS kubwa na bomba Meridianbet upo kama ifuatavyo. Machaguo spesho ya Meridianbet Mechi…
KAY Mziwanda amebainisha kile ambacho Wanasimba wanahitaji kwenye upande wa usajili wa dirisha dogo ndani ya kikosi hicho
JEMBE mkongwe kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo ametaja timu aliyokuwa anaifuatilia Kombe la Dunia ilikuwa ni Brazil lakini kilichotokea kimetokea na amefurahi kuona Timu ya Taifa ya Morocco ikiingia hatua ya nusu fainali
KLABU ya Yanga, imepangwa kundi moja na timu za TP Mazembe ya DR Congo, US Monastir ya nchini Tunisia na Real Bamako ya Mali katika droo iliyofanyika hii leo. Yanga inayoshiriki katika Ligi ya Shirikisho Barani Afrika, ilifuzu kuingia katika hatua ya makundi baada ya kung’ara katika hatua za awali ambapo sasa, wamepangwa katika Kundi…
KLABU ya Simba ya Tanzania, imepangwa katika kundi C katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Kwenye kundi hilo ambalo ikiwa Simba watapanga kete vizuri wanaweza kutusua na wakibugi watapotezwa itakutana na Vipers kutoka Uganda, Horoya ya Guinea na Raja Cassablanca ya Morocco. Simba ilifanikiwa kuingia katika Hatua ya Makundi katika mashindano ya Klabu Bingwa na…
TAARIFA zinaeleza kuwa, Klabu ya Yanga chini ya wadhamini wao Kampuni ya GSM, rasmi imemalizana na kiungo wa Uganda, Bobosi Byaruhanga na kumpatia mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kutua katika usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu. Bobosi ambaye alikuwa mchezaji huru kwa muda mrefu baada ya mkataba wake na…
MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshwa na uwezo wake ambao amekuwa akiuonyesha kila mara akiwa anaitumikia timu hiyo. Kiungo huyo mara kadhaa amekuwa akiwaniwa vikali na baadhi ya klabu za nje ya nchi kwa…
KUELEKEA usajili wa dirisha dogo, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Juma Mgunda, tayari amekutana na viongozi wa Bodi ya Wakurugenzi na kuwasilisha ripoti ya maboresho ya kikosi chake, huku jina la straika, Cesar Manzoki likijadiliwa kwa ukubwa. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu na kufungwa…
KOCHA msaidizi wa Yanga,Cedrick Kaze ambaye ameongoza kikosi hicho kupata ushindi wa mabao 8-0 dhidi ya Kurugenzi mchezo wa raundi ya Pili na amebainisha kuwa mshammbuliaji wa timu hiyo Clement Mzize alikuwa anakaa kwenye nafasi na anaongeza hali ya kujiamini huku akibainisha kuwa kunakuwa na ongezeko la machaguo lakini kiwango hakikuwa bora