
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA GEITA GOLD
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Geita Gold, Uwanja wa CCM Kirumba Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Inonga Kanoute Chama Mzamiru Bocco Phiri Sakho
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Geita Gold, Uwanja wa CCM Kirumba Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Inonga Kanoute Chama Mzamiru Bocco Phiri Sakho
MWENDELEZO mzuri wa kucheka na nyavu upo kwenye miguu ya Fiston Mayele kinara wa utupiaji mabao ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa ametupia mabao 11. Alipowatungua Polisi Tanzania hakushangilia kwa mtindo wake wa kutetema bali alionekana kwa kitendo chake akipiga simu kisha akaongea na kuanza kushangilia. Wanasema alikuwa anawapigiwa watani zake wa jadi pale Mwanza…
WAKATI Klabu ya Simba ikiendelea kupewa asilimia nyingi za kumrejesha winga wao wa zamani raia wa Msumbiji, Luis Miquissone, uongozi wa Yanga, umedaiwa kuvamia dili hilo na kutaka kumshusha mwamba huyo Jangwani. Luis aliachana na Simba Agosti 26, mwaka jana na kujiunga na timu ya Al Ahly ya Misri ambayo baadaye ilimtoa kwa mkopo katika…
DESEMBA 18,2022 Fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inatarajiwa kufanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Lusail Iconi. Mataifa mawili yanakutana kumsaka mshindi atakayesepa na taji hilo kubwa duniani. Mabingwa watetezi Ufaransa wenye Klylian Mbappe dhidi ya Argentina yenye Lionel Messi. Argentina leo watacheza fainali yao ya sita kwenye Kombe la Dunia wakiwa wamepotezwa na…
MASHABIKI wa Croatia walikuwa na furaha huku wale wa Morocco wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wao kweye Kombe la Dunia. 44,137 ni idadi ya mashabiki ambao walikuwa ndani ya Uwanja wa Taifa wa Khalifa kushuhudia mchezo wa kumsaka mshindi wa tatu wa Kombe la Dunia 2022 Qatar ambaye ni Croatia. Matumaini ya Morocco…
KOCHA Mkuu, Felix Minziro ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 wakati Minziro akikinoa kikosi hicho mchezo wao wa ligi walipokutana ubao ulisoma Geita Gold 1-1 Simba. Kwa Geita Gold bao lilipachikwa kimiani na George Mpole ambaye alikuwa mfungaji…
KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba,Sadio Kanoute raia wa Mali anatarajiwa kurejea kuikabili Geita Gold kwenye mchezo wa ligi. Nyota huyo alikosekana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Eagle FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutokana na kutumikia adhabu ya kadi nyekundu aliyopata baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano mchezo…
Ule msemo wa mtoto hatumwi dukani utatimia leo jioni pale katika dimba la Lusail ambalo ndio dimba kubwa Zaidi nchini Qatar lenye uwezo wa kuchukua mashabiki takribani 90,000 kwa wakati mmoja. Ni fainali ya kombe la dunia kati ya Argentina vs Ufaransa. Huenda ukawa unajiuliza swali moja ni wapi utapata ODDS kubwa na bomba basi…
NYOTA Fiston Mayele nyota namba moja wa kikosi cha Yanga leo amepachika bao lake la 11 ndani ya Ligi Kuu Tanzania. Katupia bao hilo wakati wakishinda mabao 3-0 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo uliochezwa Uwanjawa Mkapa. Dakika 45, vijana Polisi Tanzania chini ya Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera walikomaa na kulinda ngome isifungwe huku wao…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Polisi Tanzania wanawafuata machinjioni Uwanja wa Mkapa jijini Dar hivyo wajiandae ‘kufa’. Yanga kwenye msimamo ipo nafasi ya kwanza ikiwa imekusanya pointi 38 baada ya kucheza mechi 15 mchezo wake uliopita Uwanja wa Mkapa ulikuwa ni wa Kombe la Shirikisho na iliibuka na ushindi wa…
UMAFIA mzito, Phiri, Bocco waachiwa msala Geita Gold ndani ya Championi Jumamosi
TIMU ya Taifa ya Morocco leo Jumamosi inatarajiwa kumenyana na Timu ya Taifa ya Croatia kwenye mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Kombe la Dunia Qatar 2022. Safari ya Croatia yenye Luka Modric kuwania taji la Kombe la Dunia iligotea mbele ya Timu ya Taifa ya Argentina yenye Lionel Messi hatua ya nusu fainali baada…
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amefichua ni kweli kuna mipango inafanyika kumhusu Cesar Lobi Manzoki raia wa DR Congo, lakini akaweka wazi kuwa mpaka sasa hakuna lolote kati yao na Bobosi Byaluhanga raia wa Uganda. Manzoki na Bobosi wamekuwa kwenye rada za Simba tangu kipindi cha usajili wa dirisha kubwa ambapo…
KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kupangwa na US Monastir FC ya nchini Tunisia katika kundi moja hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga imepangwa pamoja katika Kundi D, zikiwa na timu za Union Sportive Monastery ya nchini Tunisia, TP Mazembe ya DR Congo na Real…
Ni kijana wa kitanzania ambaye ni mzaliwa na mkazi wa Handeni Tanga Didas Shauri Yeremia maarufu kwa jina la Viktoria, alishindwa kujizuia furaha yake aliyokuwa nayo baada ya kufika Makao Makuu ya Meridianbet. Mfalme wa kubeti kwa kitochi, ambaye pia ni mshindi wa promosheni kubwa ya SHINDA BAJAJI, iliyokuwa ikichezeshwa kwa muda na hatimaye…
SHABIKI wa Simba ameweka wazi kuwa kwa namna makundi yalivyopangwa, Yanga wanakazi kubwa kwa kuwa ni kundi gumu wao wanaichukulia katika hali ya kawaida
CEDRIC Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mzunguko wa pili watakuwa tofauti kwenye upande wa kasi ya ufungaji wa mabao pamoja na ulinzi. Timu hiyo imekamilisha mzunguko wa kwanza ikiwa imepoteza mchezo mmoja kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu na inaongoza ligi ikiwa na pointi 38. Kaze amesema kuwa kukamilisha mzunguko wakiwa wanaongoza…