PUMZIKA KWA AMANI NYOTA WA MPIRA

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa umempoteza shujaa ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo. Ni Graham Enock Naftari ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara Tanzania alitangulia mbele za haki Desemba Mosi. Taarifa iliyotolewa na Ruvu Shooting ilieleza kuwa nyota huyo alipatwa na umauti akiwa kwenye matibabu Hospitali ya Taifa ya…

Read More

ENDORPHINE FAIRYTALE -SHANGWE LA SLOTI DISEMBA HII! CHEZA NA UJISHINDIE ZAWADI KABAMBE ZA FEDHA!

Amini mwezi Desemba ni mwezi wa maajabu ya kujishindia mawindo yako kirahisi! Waandaaji wa michezo ya sloti Endorphine wanaopatikana Meridianbet pekee wanakuletea zawadi kibao za mkwanja. Meridianbet wanadhihirisha tena kuwa wao ndio sehemu pendwa kwa wachezaji wa sloti. Hii inachangiwa na promosheni nyingi ambazo wachezaji watafurahia Desemba hii. Endorphin’s FAIRY TALE ni ushaidi tosha! Kama…

Read More

AZAM FC YATUMIA DAKIKA 15 KUISHUSHA SIMBA

DAKIKA 15 ziliwatosha Azam FC kuiondoa nafasi ya pili Simba kwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Uwanja wa Ushirika, Moshi umesoma Polisi Tanzania 0-1 Azam FC ikiwa ni bao la dakika ya 15 kupitia kwa mtambo wao wa mabao Ayoub Lyanga. Hili linakuwa bao la kwanza kwa nyota huyo kufunga na kuipa pointi tatu…

Read More

VINARA WA LIGI KUU BARA NDANI YA MTWARA

 BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…

Read More

YANGA WAWAPIGISHA KWATA WAJELAJELA

MOJA ya mchezo bora uliokamilika kwa Yanga kuitungua Tanzania Prisons dakika ya 89 bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Prisons ambao wnanolewa na Patrick Odhiambo nidhamu ya kujilinda ilikuwa kubwa dakika 45 za mwanzo huku umakini kwenye safu ya ushambuliaji ukiwa ni mdogo kwao. Pongezi kwa kipa wa Prisons Abel ambaye umakini wake kwenye kulinda lango…

Read More

KIKOSI CHA PRISONS DHIDI YA YANGA

 HIKI hapa kikosi cha Tanzania Prisons kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa:- Hussein Abel Ezekiel Mwashilindi Ibrahim Abraham Jumnne Elifadhili Yusuph Mlipili Omary Omary Salum Kimenya Ismail Mgunda Jermeia Juma Oscar Paul Edwin Balua

Read More

NGOMA NZITO NYANKUMBU, NTIBANZOKIZA ALA UMEME

JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…

Read More