
MOSES PHIRI NA FISTON MAYELE NGOMA NZITO
MAYELE na Phiri tuzo ya ufungaji bora balaa, silaha zao hizi hapa
MAYELE na Phiri tuzo ya ufungaji bora balaa, silaha zao hizi hapa
UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa umempoteza shujaa ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo. Ni Graham Enock Naftari ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara Tanzania alitangulia mbele za haki Desemba Mosi. Taarifa iliyotolewa na Ruvu Shooting ilieleza kuwa nyota huyo alipatwa na umauti akiwa kwenye matibabu Hospitali ya Taifa ya…
HUENDA mabosi wa Yanga wakamuongezea dili jingine mzee wa kumwaga maji ndani ya kikosi hicho Jesus Moloko. Nyota huyo mkataba wake unatarajia kugota ukingoni mwishoni mwa msimu huu hivyo kama hataongezewa anaweza kujiunga na timu nyingine bure. Moloko ni namba moja kwa kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Yanga msimu wa 2022/23 akiwa ametoa jumla…
Amini mwezi Desemba ni mwezi wa maajabu ya kujishindia mawindo yako kirahisi! Waandaaji wa michezo ya sloti Endorphine wanaopatikana Meridianbet pekee wanakuletea zawadi kibao za mkwanja. Meridianbet wanadhihirisha tena kuwa wao ndio sehemu pendwa kwa wachezaji wa sloti. Hii inachangiwa na promosheni nyingi ambazo wachezaji watafurahia Desemba hii. Endorphin’s FAIRY TALE ni ushaidi tosha! Kama…
WACHEZAJI Prisons walijituma,ndondokela tu kwa Yanga
DAKIKA 15 ziliwatosha Azam FC kuiondoa nafasi ya pili Simba kwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Uwanja wa Ushirika, Moshi umesoma Polisi Tanzania 0-1 Azam FC ikiwa ni bao la dakika ya 15 kupitia kwa mtambo wao wa mabao Ayoub Lyanga. Hili linakuwa bao la kwanza kwa nyota huyo kufunga na kuipa pointi tatu…
Coastal Union wamebainisha wamefungwa mabao mepesi kwa Simba huku kipindi cha pili hali kuwa tofauti kwa kuwa walifanya makosa yaliyowafanya wakapoteza kwa kufungwa mabao 3-0
HUYO Chama awapagawisha mashabiki kutokana na kazi yake uwanjani
MABOSI wameamua, waisuka upya Simba namna hii
UNAIKUMBUKA kauli ya Asukile kabla ya mchezo dhidi ya Yanga? Hii hapa
BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…
Wiki hii ule ukurasa raundi ya mtoano wa 16 bora utafungwa rasmi kwa michezo minne iliyosalia, ni Japan vs Croatia, Brazil vs Korea Kusini, Morocco vs Hispania, Ureno vs Uswizi. Ni mpaka kieleweke mshindi apatikane. Onesha makali yako ya kutabiri ukiwa na Meridianbet. Jumatatu Desemba 05 2022 Baada ya kuwafunga Hispania kwenye mchezo wao wa…
MOJA ya mchezo bora uliokamilika kwa Yanga kuitungua Tanzania Prisons dakika ya 89 bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Prisons ambao wnanolewa na Patrick Odhiambo nidhamu ya kujilinda ilikuwa kubwa dakika 45 za mwanzo huku umakini kwenye safu ya ushambuliaji ukiwa ni mdogo kwao. Pongezi kwa kipa wa Prisons Abel ambaye umakini wake kwenye kulinda lango…
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe anakuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya Kome la Dunia kufunga jumla ya mabao 8 kabla ya kugota kwenye miaka 24. Mbele ya mashabiki 40,989 nyota huyo leo ametupia mabao mawili wakati ubao ukisoma Ufaransa 3-1 Poland, Uwanja wa Al Thumama. Mbappe katupia mabao mawili dakika…
HIKI hapa kikosi cha Tanzania Prisons kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa:- Hussein Abel Ezekiel Mwashilindi Ibrahim Abraham Jumnne Elifadhili Yusuph Mlipili Omary Omary Salum Kimenya Ismail Mgunda Jermeia Juma Oscar Paul Edwin Balua
YANGA ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons inayozihitaji pia pointi hizo. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hi:- Djigui Diarra Kibwana Shomari Joyce Lomalisa Yannick Bangala Ibrahim Bacca Khalid Aucho Feisal Salum Tuisila Kisinda Clement Mzize Aziz Ki Dickson Ambundo
JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…