
YANGA:TUNASHUSHA BEKI WA KAZI NA MSHAMBULIAJI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili wanashusha wachezaji wawili wa kazi kwa ajili ya timu hiyo kuboresha kikosi chao. Ni Nasreddine Nabi anakinoa kikosi hicho ambacho kinaongoza ligi kikiwa na pointi 50 kibindoni na mtupiaji wao namba moja ni Fiston Mayele mwenye maao 14. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…