MSHAMBULIAJI WA YANGA MZIZE APIGWA FAINI
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Clement Mzize alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Dodoma Jiji kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda bao 1-0 Kwa kosa hilo Mzize atalipa faini Tsh Milioni moja
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Clement Mzize alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Dodoma Jiji kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda bao 1-0 Kwa kosa hilo Mzize atalipa faini Tsh Milioni moja
MTAMBO wa mabao rasmi Yanga, mastaa Simba wapewa mtego wa kwanza ndani ya Championi Jumatatu
Gold Oasis, mchezo mwingine wa sloti kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na kikundi kilichoanzisha kampeni ya ushindi mkubwa. Karibu kwenye furaha kubwa ya kukusanya maokoto. Gold Oasis ni mchezo wa sloti ulioandaliwa na mtayarishaji Pragmatic Play. Kitu kisichokuwa cha kawaida kabisa kinakungoja katika mchezo…
RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa ni lazima viwango vya wachezaji wake kuongezeka katika mechi zijazo. Maneno hayo ameyasema baada ya ubao wa Uwanja wa St James Park kusoma Newcastle United 1-1 Manchester United. Ni Allan Saint-Maximin alipachika bao la kuongoza kwa timu ya Newcastle dk 7 likasawazishwa dakika ya 71 na…
KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa sababu kubwa ya timu hiyo kuachana na baadhi yamastaa akiwemo kiungo, Ibrahim Ajibu aliyejiunga na Azam ni kuwaambia wazi kuwa hawakuwa na nafasi ndani ya kikosi chake. Simba ilitangaza rasmi Desemba 30,2021 siku ya Alhamisi kusitisha mkataba na Ajibu kwa kile kilichoelezwa kuwa ni makubaliano ya pande zote mbili, ambapo nyota huyo tayari ametangazwa kusaini mwaka…
RASHID Nortey raia wa Ghana anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 48 aada ya kucheza mechi 18 msimu wa 2021/22. Nyota huyo anacheza katika Klabu ya Medeama inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana. Rekodi zinaonyesha kuwa ni moja ya kiungo…
MARA baada ya Simba SC kutangaza kuachana na kocha, Pablo Franco Martin, tayari baadhi ya makocha wameanza kuomba nafasi ya kufanya kazi ndani ya timu hiyo. Taarifa ambazo Spoti Xtra limezipata ni kwamba, kocha wa kwanza kutuma wasifu wake akiomba mikoba ya Pablo kikosini hapo ni Brandon Truter raia wa Afrika Kusini. Juzi Jumanne, Simba…
LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa, Saleh Ally Jembe amefungukia kuhusu uwezo wa nyota wa Yanga Pacome ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Nyota huyo wa Yanga ameaanza kupenya kikosi cha Yanga ambacho kinashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na ligi pia. Mbali na Jembe kufunguka…
MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Muheza Hamis Mohamed Mwinjuma maarufu Mwana FA kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Pauline Philipo Gekul ambaye amehamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria.
Ikiwa wewe ni mpenzi wa kucheza kasino ya Mtandaoni basi Meridianbet Kasino ni tulizo la moyo wako. Nakushauri tu cheza mchezo wa sloti 100 SUPER ICY upige mkwanja mrefu tena ukimwagilia moyo kwa Glasi yenye barafu baridii. Mchezo mpya wa kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni kampuni ya Expanse Studios umetoka!…
MZUNGUKO wa pili tayari upo mlangoni kwa timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara kuweza kujua nani atakuwa ni nani. Hesabu za mwisho hukamilishwa katika mzunguko wa pili hivyo jambo la msingi ni timu zote kuweza kujipanga na kupata ushindi kwenye mechi ambazo watacheza. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi…
SIO leo tangu msimu wa 2022/23 Yanga na Azam FC wamekuwa wakionyesha upinzani mkubwa uwanjani. Wanafungua kete zao kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya kwanza. Kivumbi leo Uwanja wa Mkwakwani kwa wanaume 22 kusaka ushindi ndani ya uwanja, hapa tunakudondoshea baadhi ya matukio yatakayonogesha mchezo huo:- Mbinu zinafunguliwa mara ya kwanza Mbinu za…
UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ihefu watajilaumu wenyewe kwa kutunguliwa kwenye mchezo wa leo kutokana na makosa ambayo wameyafanya kipindi cha pili. Shukrani kwa Fiston Mayele ambaye alipachika bao pekee la ushindi dakika ya 63 akitumia makosa ya kipa wa Ihefu Fikirini Bakari kwenye…
NABI awachomoa mastaa kikosini Yanga, Chama, Baleke wakabidhiwa Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, wakulima wa Alizeti. Timu hiyo imetoka kushinda mchezo wao uliopita na inakutana na Singida Big Stars ambayo nayo imeshinda mchezo wake uliopita. Singida ilishinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ikiwa ugenini, Uwanja…
DODOMA Jiji FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Mbwana Makata leo Desemba 14 imeibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho. Ilikuwa ni raundi ya tatu ambapo wameweza kushinda mabao 2-0 dhidi ya Pan African ambapo dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ni sare kwa timu zote mbili. Mchezo huo umechezwa leo Desemba 14,…