Cheza Sloti ya GOLD OASIS Kasino Bora Meridianbet

Gold Oasis, mchezo mwingine wa sloti  kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na kikundi kilichoanzisha kampeni ya ushindi mkubwa. Karibu kwenye furaha kubwa ya kukusanya maokoto.   Gold Oasis ni mchezo wa sloti ulioandaliwa na mtayarishaji Pragmatic Play. Kitu kisichokuwa cha kawaida kabisa kinakungoja katika mchezo…

Read More

SABABU ZA AJIBU KUACHWA SIMBA IPO HIVI

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa sababu kubwa ya timu hiyo kuachana na baadhi yamastaa akiwemo kiungo, Ibrahim Ajibu aliyejiunga na Azam ni kuwaambia wazi kuwa hawakuwa na nafasi ndani ya kikosi chake. Simba ilitangaza rasmi Desemba 30,2021 siku ya Alhamisi kusitisha mkataba na Ajibu kwa kile kilichoelezwa kuwa ni makubaliano ya pande zote mbili, ambapo nyota huyo tayari ametangazwa kusaini mwaka…

Read More

KIUNGO HUYU WA KAZI AINGIA ANGA ZA VINARA WA LIGI

RASHID Nortey raia wa Ghana anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 48 aada ya kucheza mechi 18 msimu wa 2021/22. Nyota huyo anacheza katika Klabu ya Medeama inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana. Rekodi zinaonyesha kuwa ni moja ya kiungo…

Read More

MAKOCHA WAIGOMBEA SIMBA, CV ZA KUTOSHA ZATUMWA MSIMBAZI

MARA baada ya Simba SC kutangaza kuachana na kocha, Pablo Franco Martin, tayari baadhi ya makocha wameanza kuomba nafasi ya kufanya kazi ndani ya timu hiyo. Taarifa ambazo Spoti Xtra limezipata ni kwamba, kocha wa kwanza kutuma wasifu wake akiomba mikoba ya Pablo kikosini hapo ni Brandon Truter raia wa Afrika Kusini. Juzi Jumanne, Simba…

Read More

VIDEO: JEMBE AFUNGUKIA ISHU YA PACOME NA ONANA WA SIMBA

LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa, Saleh Ally Jembe amefungukia kuhusu uwezo wa nyota wa Yanga Pacome ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Nyota huyo wa Yanga ameaanza kupenya kikosi cha Yanga ambacho kinashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na ligi pia. Mbali na Jembe kufunguka…

Read More

AZIZ KI BALAA ZITO YANGA

MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…

Read More

MZUNGUKO WA PILI HUU HAPA MLANGONI MUHIMU KUJIPANGA

MZUNGUKO wa pili tayari upo mlangoni kwa timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara kuweza kujua nani atakuwa ni nani. Hesabu za mwisho hukamilishwa katika mzunguko wa pili hivyo jambo la msingi ni timu zote kuweza kujipanga na kupata ushindi kwenye mechi ambazo watacheza. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi…

Read More

USIKU WA KISASI YANGA YAWATUNGUA IHEFU

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ihefu watajilaumu wenyewe kwa kutunguliwa kwenye mchezo wa leo kutokana na makosa ambayo wameyafanya kipindi cha pili. Shukrani kwa Fiston Mayele ambaye alipachika bao pekee la ushindi dakika ya 63 akitumia makosa ya kipa wa Ihefu Fikirini Bakari kwenye…

Read More

MATAJIRI WA DAR AZAM FC KAZI INAENDELEA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, wakulima wa Alizeti. Timu hiyo imetoka kushinda mchezo wao uliopita na inakutana na Singida Big Stars ambayo nayo imeshinda mchezo wake uliopita. Singida ilishinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ikiwa ugenini, Uwanja…

Read More