YANGA HAO ROBO FAINALI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup Yanga wamekata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wakiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma umesoma Dodoma Jiji 0-2 Yanga. Bao la mapema dakika ya tatu kupitia kwa Emmanuel Martin ambaye alijifunga dakika ya 3 na Clement Mzize dakika ya 66 alipachika…

Read More

MANCHESTER UNITED KOCHA HUYU ATAJWA

Habari za chini ya kapeti zinamtaja Brendan Rodgers kama kocha atakayepewa kibarua pale Old Trafford, pindi atakapoondoshwa mtoto wa nyumbani Ole Gunner Solskjaer.   Rodgers aliwahi kufundisha Liverpool ambayo aliifikisha nafasi ya 2 kwenye msimu wa 2013/14. Muda mfupi baada alijiunga na Celtic kabla ya 2019 kurejea kwenye EPL na kuichukua Leicester City ambayo bado yupo nayo, mpaka sasa…

Read More

NABI AWAKIMBIZA KINONOMA SIMBA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amemkimbiza kinomanoma Roberto Oliveira raia wa Brazil kwenye upande wa kusepa na pointi tatu muhimu ndani ya dakika 450. Katika mechi tano za hivi karibuni Yanga haikuwa na namna ilisepa na pointi zote 15 ilizokuwa inasaka huku Oliveira akikwama kufanikisha jambo hilo. Simba kwenye msako wa pointi 15 imegotea…

Read More

MANAHODHA SIMBA NA DODOMA JIJI TAMBO TUPU

MOHAMED Hussein, nahodha msaidizi wa Simba amesema wapo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji. Huo ni mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkapa. Beki huyo amebainisha kwamba wanatambua ukubwa wa Dodoma Jiji kweye ushindani hivyo watajitahidi kutafuta ushindi. “Tupo tayari kwa ajili ya mchezo wetu…

Read More

TANZANIA PRISONS 0-1 YANGA

FISTON Mayele anachojua ni kufunga mengine weka kando kambani ni mabao 17 kwenye Ligi Kuu Bara. Ubao wa Uwanja wa Sokoine unasoma Tanzania Prisons 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Bao hilo amepachika dakika ya 33 akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya Sure Boy. Yanga leo watakabidhiwa ubingwa wao wakiwa ardhi ya Mbeya,…

Read More

USHINDI WA TAIFA STARS, WAZIR AFICHUA SIRI

WAZIR Junior mfungaji wa bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia ameweka wazi kuwa ushirikiano kutoka kwa wachezaji wengine uliwapa nguvu ya ushindi katika mchezo huo. Tanzania ipo kundi E ambapo vinara ni Morocco wenye pointi 6 baada ya kucheza mechi mbili huku Tanzania ikiwa nafasi ya…

Read More

SIMBA KUTUA BONGO LEO WAKITOKEA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kupoteza mbele ya Orlando Pirates wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika leo Aprili 25 wanarejea. Ni jana Aprili 24 ulipigwa mpira wa kazi na dk 45 Simba walikuwa imara katika eneo la ulinzi huku lile la ushambuliaji ikiwa ni hafifu kwa kuwa walikuwa wakitengeneza mashambulizi ya kushtukiza. Dakika ya 58 alipoonyeshwa…

Read More

YANGA WAANDAA JAMBO KUBWA KWENYE USAJILI

KATIKA kuelekea usajili wa dirisha la Januari, mwaka huu wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM, wamewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kufanya usajili mkubwa na wa kishindo.   Yanga imeonekana kudhamiria msimu huu kutwaa mataji yote wanayoshindania ikiwemo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), ambayo yote yanatetewa na Simba.   Timu…

Read More

PACHA YA BANGALA,JOB NA DJUMA YAJIBU YANGA

PACHA ya nyota watatu ambao ni mabeki ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imejibu baada ya kuweza kucheza kwenye mechi tatu ambazo ni sawa na dakika 270 bila kuokota mpira nyavuni. Ndani ya Ligi Kuu Bara, Yanga imecheza mechi tatu ambapo ile ya kwanza ilikuwa mbele ya Kagera Sugar, Uwanja…

Read More

RASMI,KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA NAMUNGO

  SAA 10;00 jioni kikosi cha Yanga kitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC mchezo utakaochezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Hiki hapa kikosi rasmi ambacho kinatarajiwa kuanza leo mbele ya Namungo kusaka pointi tatu muhimu:- Diarra Djidgui Djuma Shaban Kibwana Shomari Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Tonombe Mukoko Jesus Moloko…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA ISHU YA SUMU KISA HIKI HAPA

KUTOKANA na usajili waliofanya na ubora wa kikosi kwa msimu wa 2023/24, mashabiki wa Simba wameomba kupewa sumu ikiwa tu timu hiyo haitatinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 watani zao wa jadi Yanga walitinga hatua ya fainali katika Kombe la Shirikisho Afrika. Pia mgeni rasmi, Rais Samia…

Read More

MATAJIRI WA DAR MOTO WAO SIO WAKITOTO

MATAJIRI wa Dar Azam FC moto wa ushindi hauzimi kutokana na kuendelea pale walipoishia Novemba kupata ushindi mbele ya wapinzani wao na kukomba pointi tatu. Ipo wazi kuwa ndani ya Novemba katika mechi tatu mfululizo, mbili ambazo ni dakika 180 walicheza ugenini na kete ya kufungia mwezi ikipigwa Azam Complex zote waliibuka na ushindi. Katika…

Read More