MABOSI AZAM FC WAMPA DUBE MASHARTI MAWILI ASEPE

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna taizo na mchezaji wao Prince Dube ambaye anahitaji kuondoka ni machaguo mawili anayo kuyafanya kwa sasa kuendelea na maisha yake ya soka bila tabu. Ipo wazi kwamba Dube ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24 kafunga jumla ya mabao saba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kuibukia ndani…

Read More

NAMNA PUMZI YA MOTO ILIVUTWA UWANJA WA MKAPA

ILE pumzi ya moto wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, hatua ya robo fainali Orlando Pirates waliivuta baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0, Uwanja wa Mkapa. Wimbo wa matumizi ya nafasi zinazotengenezwa kwa Simba utadumu kwenye vichwa vyao kwa kuwa mashuti 17 waliyopiga ni matano yalilenga lango la wapinzani wao. Kwa…

Read More

YANGA BINGWA WA KOMBE LA SAFARI CUP

Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la #Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa. FT: Safari Champions 1️⃣➖4️⃣ Yanga SC ⚽️ Omary Mfaume ⚽️ Shekhan ⚽️ Prosper ⚽ Hussein Safari Champions ni kikosi ambacho kilipatikana kupitia programu maalum iliyoendeshwa na…

Read More

U 23 YATOSHANA NGUVU NA SUDAN KUSINI AZAM COMPLEX

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 23 leo Septemba 23 kimelazimisha suluhu dhidi ya Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo wageni Sudan Kusini walicheza kwa umakini wakitumia mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. U 23 ilianza…

Read More

YANGA YATUPIA MABAO 2-0 MBELE YA TAIFA JANG’OMBE

KATIKA michezo wa kwanza leo Yanga wameweza kuibuka na ushindj wa mabao 2-0 mbele ya Taifa Jang’ombe. Mabao ya Yanga yametupiwa na Heritier Makambo dakika ya 32 na lile la pili limepachikwa na Dennis Nkane. Ni bao la kwanza kwa Nkane baada ya kuibuka hapo akitokea kikosi cha Biashara United na amefunga bao hilo dakika…

Read More

AZAM FC KUMEKUCHA WAANZA NA HILI

BAADA ya kuambulia kichapo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, matajiri wa Dar Azam FC wameanza maandalizi. Ni Mzizima Dabi ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 3-2 Azam FC ambapo Aziz Ki aliandika rekodi ya kufunga hat trick katika mchezo huo. Mabao ya Azam FC inayonolewa na Yusuph Dabo yalifungwa na…

Read More

ZIDANE AGOMEA DILI LA MANCHESTER UNITED

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Manchester United inamtaka Kocha Zinedine Zidane raia wa Ufaransa kutua klabu hapo kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kufuatia kufungashiwa virago kwa Ole Gunar Solskjaer lakini kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na kocha huyo wa zamani wa Real Madrid, amesema hana mpango wa kwenda Old Trafford.   Solskjaer alitimuliwa na…

Read More

SERIKALI IAMUE MOJA TU, IZIBEBE MOJA KWA MOJA GHARAMA

KUNA kila sababu ya kusema Serikali ya Jamhuri ya Tanzania chini ya Dk Samia Suluhu Hassan inajitahidi kuonyesha inafanya jambo katika michezo nchini. Inawezekana kwa awamu kadhaa zilizopita, Serikali imekuwa ikishiriki katika michezo katika nyanja mbalimbali. Kipindi hiki kumekuwa na mabadiliko zaidi na mengi yanahusisha hamasa na kidogo usaidizi katika gharama ya timu zetu za…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA WATUMA SALAMU MSIMBAZI

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Maxi Nzengeli amesema kuwa wapo tayari kuelekea mchezo wao wa Karikoo Dabi dhidi ya Simba huku akiwaomba mashabiki wajitokeze kuona burudani. Ndani ya kikosi cha Yanga Nzengeli ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa kakomba dakika 489. Katupia mabao matano na pasi moja ya…

Read More

AIR MANULA NA DAKIKA ZAKE BONGO

  KWA upande wa makipa ambao kazi yao namba moja ni kuzuia mipira kupita kwenye lango lake ni Aishi Manula yeye ni kinara kwa makipa ambao hawajaruhusu kufungwa ndani ya dakika 450. Akiwa amecheza mechi tano zte za Simba msimu huu wa 2021/22 Manula amekuwa mhimili kwenye upande wa ulinzi na kulifanya lango kuwa salama…

Read More

SIMBA WASEMA MAYELE ALIKUWA MZURURAJI UWANJA WA MKAPA

AHMED Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Simba amesema kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele hakuweza kutamba mbele ya Joash Onyango na Henock Inonga. Aprili 30,2022 Mayele ambaye ni kinara wa utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 12 aliweza kubanwa asiweze kutetema kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliokamilika kwa sare…

Read More

ZORAN MILOSEVIC CEO WA MERIDIANBET! LEO ANAFUNGUKA KILA KITU

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Meridianbet Zoran Milosevic, atakuwa mzungumzaji mkuu katika Siku ya Wawekezaji ya Senzal, moja ya jukwaa muhimu zaidi la wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa duniani. Tukio hili linafanyika leo Jumatano tarehe 26 Juni huko Belgrade nchini Serbia. Jukwaa la Senzal hukusanya wawekezaji na wafanyabiashara, wataalamu wa fedha, na viongozi wa makampuni kama Meridianbet…

Read More

RUVU SHOOTING WAANZA SAFARI KUREJEA PWANI

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar umeshamalika hivyo wameanza safari ya kurejea Dar. Jana Ruvu Shooting ilitoshana nguvu bila kufungana na Kagera Sugar kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Kagera Sugar 0-0 Ruvu Shooting na kuwafanya wagawane pointi mojamoja…

Read More