YANGA YAKOMBA MILIONI 20 KISA WAARABU

YANGA wameandika rekodi ya kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wapinzani wao CR Belouizdad mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ushindi huo umewapa fursa Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali kwa Tanzania huku Simba ikiwa na kibarua cha kusaka ushindi…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

NOVEMBA 2,2021 Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi ambapo ushindani umekuwa mkubwa tofauti na msimu uliopita. Leo viwanja viwili vitakuwa na burudani tosha kwa mashabiki wao huku wachezaji wakionyesha kile ambacho wamefundishwa na makocha wao katika muda wa maandalizi. Ni mchezo kati ya Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 12 kwenye msimamo wa…

Read More

FT:MBUNI FC 0-2,MUKOKO ATUPIA MBILI

UWANJA wa Sheikh Amri Abeid dakika 90 zimekamilika kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mbuni ambapo ni Yanga wameibuka kidedea kwenye mchezo wa leo. Mabao yote ya Yanga yamefungwa kipindi cha pili kwa kuwa dakika 45 za mwanzo timu zote zilitoshana nguvu na mtupiaji ni Mukoko Tonombe ambaye alifunga mabao hayo kwa penalti…

Read More

AZAM FC KAMBI YAANZA RASMI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa leo itakuwa ni siku rasmi ya mastaa wao kuweza kuanza kambi ya ndani kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23. Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa na maandalizi yataanza nyumbani kabla ya safari ya kuelekea Misri. β€œTutaanza na kambi ya nyumbani,Jumanne…

Read More

YANGA WAPO KAMILI KUWAKABILI AZAM FAINALI

MABINGWA wa CRDB Federation Cup Yanga wameanza hesabu kuelekea mchezo wao wa fainali dhidi ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo. Ipo wazi kwamba Mei 30 kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kilitia timu ndani ya Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo ujao. Ukiweka kando kuwa na taji…

Read More

MAPINDUZI YAFANYIKE MAPINDUZI YA KWELI

WAKATI mwingine kwa sasa kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo kila timu shiriki inafanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi. Hakuna ambaye hapendi kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ambao atacheza hivyo kwa sasa ni muhimu kupata ushindi. Ukweli ni kwamba wachezaji wamepata nafasi kwenye mashindano haya ambayo ni ya heshima na kila mmoja ana kazi ya…

Read More

SANKARA APIGA SIMU YANGA

MSHAMBULIAJI wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome Zouzoua na Kouassi Attohoula Yao ambao ni marafiki zake. Sankara amekuwa akihusishwa kwa muda sasa kutakiwa na Yanga huku msimu huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa amefanikiwa kufunga mabao 4…

Read More

KIUNGO SAKHO HANA PRESHA KUHUSU YANGA

WINGA wa kimataifa wa Senegal anayecheza Simba, Pape Ousmane Sakho, amesema wala hana presha kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, huku akibainisha kwamba, anauchukulia mchezo huo kama mingine aliyowahi kucheza. Sakho ambaye amejiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu, amekuwa moja ya wachezaji bora ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango alichokionesha…

Read More

AL AHLY NA PYRAMIDS ZIMEANZA HATUA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KWA USHINDI

Miamba ya Nchini Misri, Al Ahly na Pyramids zimeanza hatua robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi huku Maharamia wa Afrika Kusini, Orlando Pirates wakiilaza MC Alger ya Algeria ugenini. FT Pyramids πŸ‡ͺπŸ‡¬ 4-1 πŸ‡²πŸ‡¦ FAR Rabat ⚽ 02’ Mayele ⚽ 12’ Mayele ⚽ 39’ Adel ⚽ 67’ Adel ⚽ 45’ Hadraf FT Al…

Read More

AZAM FC KAZI INAENDELEA

BAADA ya ushindi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC mpango kazi kwa Azam FC ni mchezo wao wa Azam Sports Federation hatua ya robo fainali. Timu hiyo iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Machi 27. Kete yake inayofuata kwenye mechi za mashindano ni…

Read More

CHEZA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET! CHEZA USHINDE NA DEUCES WILD POKER

Usisubiri kuhadithiwa! Jiunge na Meridianbet sasa ili uweze kupata bonasi na promosheni kibao katika michezo mingi. Kila wiki, Meridianbetinakuletea bonasi na promosheni kabambe kabisa. Wiki hii, Meridianbet inakuletea mchezo bomba na wa kipekee uitwao Deuces Wild Poker uliotengenezwa na Habanero. Ukiingia katika Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, utakuta mchezo wa Deuces Wild Poker ambao ni…

Read More