SINGIDA FOUNTAIN GATE WAPANIA KUFANYA VIZURI

TIMU ya Singida Fountain Gate inayoshiriki ligi kuu Tanzania bara inaendelea na maadalizi kujiandaa na msimu ujao wa ligi kuu 2023/2024. Singida Fountain Gate iliweka kambi Arusha ilirejea Singida kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya tamasha la Singida Big Day. Tamasha la Singida Big Day lilifanyika Agosti 2 2023 na walitambulisha wachezaji wapya na…

Read More

AMANI ITAWALE KWENYE KILA ENEO SIMBA DAY

AMANI ni nkitu cha msingi kwenye kila idara ikiwa ni pamoja na familia ya michezo. Hivi karibuni kwenye matamasha pamoja na mechi za kimataifa tumeshuhudia vurugu. Utaratibu ambao umekuwa ukitumika, ni miongoni mwa sababu ya mashabiki kuwa sehemu ya vurugu hizo hasa wakati wa kuingia uwanjani. Kikubwa ambacho kinatakiwa kuelekea Simba Day, kuwepo mipango makini…

Read More

MASTAA HAWA WAMPA JEURI GAMONDI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina anatajwa kuwa kwenye furaha kuwaona makipa watatu wakiwa kwenye uimara mazoezini. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara kwenye upande wa makipa wapo watatu ikiwa ni Djigui Diarra raia wa Mali huyu ni kipa namba moja. Djigui ana tuzo ya kipa bora na yupo…

Read More

NGAO YA JAMII ANAPASUKA MTU LEO

LEO Jumapili kwenye Uwanja wa Wembley, Arsenal na Manchester City zinakutana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England. Huu ni mchezo wa 115 wa Ngao ya Jamii unacheza tangu michezo hii ilipoanza kuchezwa mwaka 1908. Mchezo wa Ngao ya Jamii huzikutanisha timu bingwa wa Kombe la FA…

Read More

NYOTA MPYA YANGA AJA NA UJUMBE HUU

HAFIZ Konkoni mshambuliaji mpya wa Yanga amesema kuwa yupo tayari kwa ajili ya msimu mpya wa 2023/24. Nyota huyo anatajwa kuwa mbadala wa mshambuliaji Fiston Mayele ambaye amesepa Yanga na kuelekea kupata changamoto mpya ndani ya Pyramids ya Misri. Mayele ameweka wazi kuwa anaamini wachezaji wapya ambao wapo ndani ya kikosi cha Yanga pamoja na…

Read More

MABOSI CHELSEA WAKAMILISHA DILI LA DISASI

MABOSI wa Chelsea wamekamilisha usajili wa beki, Axel Disasi kutoka Monaco kwa pauni milioni 40 kwa mkataba wa miaka sita. Staa huyo pia alikuwa kwenye rada za Manchester United na Newcastle ambao pia walikuwa na nia ya kumsajili. Disasi aliweka wazi kuwa anatamani kushinda makombe na kufanya mambo makubwa akiwa Chelsea. Akizungumza na tovuti rasmi…

Read More

SIMBA UNYAMA NI MWINGI MPAKA UNAMWAGIKA

“HISTORIA mpya imeandikwa kwa tiketi zote kununuliwa siku tatu kabla ya SIMBA DAY. Shukrani kwa mashabiki wote ambao wamenunua tiketi.” Hii ni taarifa fupi ambayo ilitolewa na Simba Alhamisi kuelekea kilele cha tamasha lao kubwa Agosti 6 2023. Yamebaki masaa tu, kabla ya tukio hilo kubwa na la kihistoria ambapo uongozi wa Simba umebainisha kuwa…

Read More

AZAM FC MOTO HAUZIMI, KASI JUU YA KASI

AZAM FC wamezidi kuongeza makali yao kwa ajili ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Moto wao hauzimi ikiwa ni kasi juu ya kasi baada ya kutoka Tunisia ambapo waliweka kambi ya muda. Kwa msimu wa 2022/23 Azam FC ilipishana na ubingwa wa ligi ambao ni Yanga walitwaa taji hilo na walipokutana na Yanga…

Read More

WASIO NA TIKETI WAPEWA TAHADHARI HII SIMBA DAY

MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa kwa wale ambao hawana tiketi za Simba Day ni muhimu kubaki nyumbani au wasifike maeneo ya Uwanja wa Mkapa. Agosti 6 ni kilele cha Simba Day ikiwa ni siku maalumu ya utambulisho wa benchi la ufundi pamoja na wachezaji wa Simba. Tayari…

Read More

AZAM FC YALITAKA KOMBE LA YANGA

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa utaanza na Ngao ya Jamii kwenye ufunguzi wa msimu wa 2023/24. Yanga na Azam zinatarajiwa kumenyana Agosti 9 Uwanja wa Mkwakwani ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Ofisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe amesema kuwa wapo tayari kwa msimu mpya na wataanza na Yanga. “Mchezo wetu wa kwanza…

Read More

KOCHA PSG KUBWAGA MANYANGA KISA HIKI HAPA

KOCHA mkuu mpya wa PSG, Luis Enrique anafikiria kujiuzulu nafasi yake baada ya mwezi mmoja tu, katika kazi hiyo huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni machafuko ambayo yanaendelea katika klabu hiyo hususani sakata la staa wa timu hiyo, Kylian Mbappe. Ripoti kutoka nchini Hispania zinaeleza kuwa, Enrique ambaye aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa PSG mwanzoni…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE KWA MASHABIKI KUONGEZA ULINZI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Simba amesema Wanasimba wote wenye tiketi za Simba Day wajitahidi kuzilinda. Agosti 6 2023 ni kilele cha Simba Day ambapo watafanya tamasha lao kwa kutambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi cha Simba msimu wa 2022/23. Miongoni mwa wachezaji wapya ndani ya Simba ni Fabrice Ngoma ambaye alikuwa…

Read More

GAMONDI: WACHEZAJI MUHIMU KUONGEZA UMAKINI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanahitaji kuongeza umakini katika kutimiza majukumu yao yote. Timu ya Yanga imeweka kambi AVIC Town ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Yanga ni mabingwa watetezi baada ya kutwaa taji la ligi msimu wa 2022/23 pia wana kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Agosti…

Read More

SIMBA TAMBO TUPU MSIMU MPYA, KOCHA ATAMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia muda walioupata katika kambi yao nchini Uturuki, umewasaidia kuwajenga. Ipo wazi kuwa Simba wanatambua kwamba ni Yanga walitwaa taji la ligi msimu wa 222/23 hivyo kocha huyo amewaandaa vizuri wachezaji wa timu huyo kwa ajili ya msimu ujao. Simba…

Read More