
IJUMAA YA KIJANJA HII HAPA, MECHI KIBAO KUTIKISA USIKU WA LEO!
Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Uingereza CHAMPIONSHIP itaendelea kwa mchezo mkali kwelikweli, Norwich City atamualikwa kwake Oxford United ambao walipoteza mechi yao iliyopita, huku kwa mwenyeji yeye alitoa sare mechi yake…