
KOCHA SIMBA AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa pongezi kubwa kwa wachezaji wake kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya TMA Stars ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Machi 11 2025 Simba ilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya TMA Stars ilikuwa ni Uwanja wa KMC, Complex. Baada ya dakika…