GOD IS GOD, YANGA YATEMBEZA 5 G

MUNGU ni mwema kila wakati ni ujumbe wa kiungo mshambuliaji wa Yanga Maxi Nzengeli ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti na amerejea uwanjani Januari 25 2025 akitupia bao moja dhidi ya Copco FC raundi ya tatu CRDB Federation Cup. Baada ya dakika 90 Ubao wa Uwanja wa KMC, Complex umesoma Yanga 5-0…

Read More

KWENYE JUMUIYA YA MADOLA TANZANIA IMEPATA MEDALI

TANZANIA imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola  jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote. Kwanza alianza bondia Yusuf Lucasi Changalawe kwa kupambana na  Sean Lazzerini wa Scotland katika nusu finali ya kwanza ya uzani wa 75kg-80kg (Light Heavyweight )…

Read More

JIBWEDE NA MKWANJA WA MECHI ZA EUROPA LEO

Mambo vipi mteja wa meridianbet? Je unajua kuwa hapa ndio sehemu sahihi za wewe kusuka jamvi lako na kuanza kubashiri mechi zako kwa ODDS KUBWA na machaguo mengi zaidi?. Leo AC Milan, AS Roma, Benfica wote hao na wengine uwanjani unakosaje pesa sasa? Tukianza na mechi ya Benfica Lisbon dhidi ya Toulouse FC, kwanza mechi…

Read More

SUALA LA MZUNGU WA SIMBA LIWE SOMO KWA WENGINE

IMESHATOKEA mwanzoni kabisa msimu wa 2022/23 wakati wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa kwenye maandalizi. Tukio ambalo kila kiongozi analishangaa kwa nini limetokea na kwa nini imekuwa hivyo wakati ambao hawakutarajia. Ni kweli kwa namna ilivyotokea lazima kila mmoja atapambana kuonyesha kwamba hakutarajia kuona inatokea ilihali ukweli unajulikana. Mkataba wao ambao…

Read More

YANGA HAWANA HABARI NA ISHU YA KOCHA SIMBA

WAKATI wengi wakisema ujio wa kocha mpya wa Simba, Pablo Franco utakuwa ni changamoto kubwa kwa Yanga kutokana na wasifu mkubwa alionao, lakini uongozi wa Yanga wala hauna presha wakimuamini kocha wao, Nasreddine Nabi.   Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Simba imtangaze kocha huyo raia wa Hispania aliyekuja kuchukua nafasi ya Mfaransa, Didier Gomes na jana Novemba 10 aliwasili Dar kwa ajili ya kuanza kufanya kazi kwenye benchi…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Agosti 13 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kimetambulishwa tayari. Huu ni mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ambapo Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itamenyana na Simba. Ni Djigui Diarra langoni  Yao Lomalisa Mutambala Bakari Nondo Bacca Aucho Max, Mudathir Mzize Kennedy Musoda Jesus Moloko

Read More

MWAMBA PHIRI ANAKUJA

MOSES Phiri, nyota wa Simba mdogomdogo anazidi kurejea kwenye ubora wake kutokana na kasi yake kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao kuanza kuimarika. Ipo wazi kwamba zama za kocha Roberto Oliveira hakuwa chaguo la kwanza katika kikosi hicho na mechi nyingi alianza kusugua benchi licha ya uwezo alionao. Ni mabao matatu katupia ndani ya…

Read More

YANGA YAJIVUNIA JEMBE JIPYA, KAZI IPO

MGENI mwenyeji, Okra Magic ni mali ya Yanga yeye ni winga raia wa Ghana ambapo anajiunga na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond kwenye dirisha dogo. Desemba 31 2023 Okrah alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi, Zanzibar. Katika mchezo wa funga 2023 ubao baada ya dakika 90…

Read More

KUMBE YANGA BADO INAJITAFUTA

BAADA ya Yanga kujikusanyia pointi 15 katika michezo mitano ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu, kocha mkuu wa timu hiyo, Nasreddine Nabi amewataka mashabiki wao wasiwe na hofu kwani huu ni mwanzo tu, mazuri zaidi yanakuja.   Yanga imekuwa kwenye kiwango bora msimu huu ambapo imefanikiwa kuweka rekodi ya kushinda mechi tano za mwanzo kwenye Ligi Kuu Bara kitu ambacho timu zingine zimeshindwa kufanya. Akizungumza na Spoti Xtra, Nabi alifichua kwamba, alitumia muda mrefu kuitengeza…

Read More

NIDHAMU IWE NA MWENDELEZO KWENYE LIGI KUU BARA

MWENDELEZO wa ligi unatarajia kurejea kwa kasi kutokana na kila timu kuwa na shauku ya kupata pointi tatu muhimu. Huu ni mzunguko wa pili ambao hauna chaguo la nani atafungwa iwe nyumbani ama ugenini mambo yamebadilika sana siku hizi. Haya yote yanatokana na ushindani uliopo kwani hata zile ambazo zinajiita timu kongwe zimekuwa zikipata ugumu…

Read More

GAMONDI ATAJA TATIZO LA YANGA LILIPO

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa tatizo kubwa ambalo lilikuwa kwenye mchezo wao wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar ni kushindwa kutumia nafasi ambazo walizipata ndani ya uwanja. Ni Agosti 29 2024 ilikuwa Uwanja wa Kaitaba baada ya dakika 90 ulisoma Kagera Sugar 0-2 Yanga na mabao…

Read More