SIMBA WATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawekeza nguvu kubwa kwenye Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwao na hawatahofia kukutana na wapinzani wao Yanga. Tayari Yanga imekata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali inasubiri mshindi wa mchezo kati ya Simba na Pamba ili kujua itacheza na nani hatua ya nusu fainali. Meneja wa Kitengo…

Read More

MERIDIANBET WALIFURUKUTA KUCHUANA NA WAHAMASISHAJI DIMBANI!

Meridianbet walipimana nguvu na kikosi cha timu ya wahamasishaji kilichoongozwa na Jemedari Said Kazumari, na Foby wikiendi iliyopita. Kabla ya mechi hii ya kirafiki, pande hizi mbili zilitambiana kuondoka na ushindi na maandalizi yalifanyika vyema kuhakikisha kila timu inajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Mechi hii iliyobeba dhumuni kubwa la kuwaleta pamoja wahamasishaji na wafanyakazi wa…

Read More

ALI KAMWE: AZIZ HAWEZI KUCHEZA NA WATU WANAOFANYA DHULUMA

“Aziz Ki ni kweli anamaliza mkataba wake lakini kwa hapa sioni kama kuna timu ambayo Aziz anaweza kucheza, Aziz anahitajika na timu nyingi kwa hizi timu za Afrika Kusini Aziz hawezi kucheza na watu wanaofanya dhuluma namna ile” “Ziko ofa nyingi lakini kubwa ambalo naweza kuwaambia wanayanga, wachezaji bora ambao wamewaona kwenye kikosi chetu wanasalia…

Read More

LWANGA KUWAKOSA ASEC MIMOSAS LICHA YA KUPIGA MATIZI

LICHA ya Taddeo Lwanga kiungo mkata umeme wa Simba kuanza mazoezi hana uhakika wa kuanza kesho mbele ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco inakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, hatua ya makundi. Kwa sasa Simba ipo kwenye maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa…

Read More

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA MATIZI

MABINGWA wa kihistoria Yanga wameendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 30. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeendelea kujiweka sawa ambapo katika program wanazofanya kwa sasa ni pamoja na ile ya kuwa GYM kupiga matizi. Mbali na mazoezi…

Read More

YANGA HESABU ZAO ZIPO HIVI

BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho wanakihitaji kwenye mechi ambazo wanacheza ni pointi tatu. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mashujaa wakiwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Mei 5 2024 walikomba pointi tatu mazima. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-1 Yanga na bao la ushindi likifungwa…

Read More

YANGA WANARUDI KAZINI KUSAKA POINTI ZA NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kinatarajiwa kushuka uwanjani Aprili 23 kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC. Ni mchezo wa ligi ambapo utakuwa ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa awali walipokutana Uwanja wa Ilulu ubao kusoma Namungo 1-1 Yanga. Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa wapo…

Read More

STAMINA AFICHUA KILICHOMUUA DIRECTOR KHALFANI…

Staa wa Bongo Fleva, Stamina ‘Shorobwenzi’ amesema kifo cha Dairekta Khalfani ni pigo kubwa kwa sanaa ya muziki wa kizazi kipya kwani alikuwa ni mtu wa kutegemewa linapokuja suala la kushoot video za nyimbo za wasanii. Amesema kwa taarifa ambazo alikuwa anazijua, ni kwamba Dairekta Khalfan alianguka akiwa kazini na baadaye akapelekwa Hospitali ya Lugalo…

Read More

POULSEN:ALGERIA NI WAGUMU ILA TUTAPAMBANA

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen amesema wataingia kwa kuwaheshimu wapinzani wao Algeria kwa kuwa ni timu imara na ina uzoefu mkubwa. Poulsen amebanisha kuwa kwa ubora walionao Algeria ni wazi Tanzania inatakiwa kuingia uwanjani ikiwa na mpango maalum kwa kuwa timu hiyo ni imara kwenye umiliki wa mpira….

Read More

AIR MANULA MDOGOMDOGO ANAREJEA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba taratibu anazidi kurejea kwenye uimara wake baada ya kuwa kwenye mwendelezo wa matiabu ya afya yake. Ikumbukwe kwamba kipa huyo ni chaguo namba moja la Kocha Mkuu, Roberto oliveira hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza Kariakoo Dabi ya mzunguko wa pili ni mikono ya kipa namba tatu…

Read More

MRITHI WA MIKOBA YA MAYELE ANAPAMBANIA KOMBE HUKO

MRITHI wa mikoba ya Fiston Mayele ndani ya kikosi cha Yanga, Kennedy Musonda anapambania kombe kutokana na kuendelea kujitafuta kwenye kufunga ndani ya ligi. Ikumbukwe kwamba Mayele aliyesepa ndani ya kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 alikuwa ni namba moja kwa utupiaji alipotupia mabao 17 kibindoni na kutwaa tuzo ya ufungaji bora. Kwa sasa yupo…

Read More