
MAYELE TISHIO JIPYA AFRIKA, SIMBA CAF NYINGINE
MAYELE tishio jipya Afrika, Simba ya Caf ni nyingine kabisa ndani ya Championi Jumatatu
MAYELE tishio jipya Afrika, Simba ya Caf ni nyingine kabisa ndani ya Championi Jumatatu
WACHEZAJI wa Simba wanaratiba ngumu kwelikweli ndani ya mwezi huu mpya wa Februari katika kusaka matokeo kutokana na ratiba kwao kuwa mwendo wa bandika bandua. Mabingwa hao watetezi wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 25 kesho Februari 03 wanakazi ya kuanza kusaka ushindi mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Simba inakumbuka kwamba…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo Bongo, Saleh Jembe amefungukia ishu ya uwezo wa Feisal Salum na mwamuzi Ahmed Arajiga uwezo katika mechi za ushindani.
“Mchezaji kama Feisal sasa hivi anamkataba, inakuja Klabu labda kutoka South Afrika inakuletea ofa ya USD 50,000 au USD 100,000 hatuwezi kukaa kuzungumza naye huyu mtu. “Hapa katikati zimekuja ofa za baadhi ya timu, hatuwezi kumuuza Feisal Chini ya Tsh. Bilioni 1 sawa na Kama USD 500,000 hapo angalau tunaweza kuzungumza,” Msemaji wa Yanga, Haji…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameanza maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge. Azam FC iligotea nafasi ya pili kwenye msimamo msimu wa 2024/25 na kiungo Feisal Salum alikuwa namba moja kwa kutengeneza pasi za mwisho ambazo ni 13 na alifunga mabao manne yote kwa mguu wa kulia. Ibenge ameweka wazi…
UJIO wa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye amepewa dili la miaka miwili umewashtua makocha waliokuwa kwenye timu hiyo kwa kuwa walikuwa hawafahamu lolote kuhusu kuwasili kwake Bongo. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa makocha hao ilieleza kuwa Seleman Matola ambaye ni kocha msaidizi pamoja na Hitimana Thiery ambaye alikuwa…
MASHABIKI wa Simba wamemkataa mzungu wao Dejan ambaye ni ingizo jipya ndani ya Simba akichukua mikoba ya Meddie Kagere na Chris Mugalu ambao wameachwa na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zoran Maki
MPANGO unaanza kusukwa upya kwa ajili ya Yanga kuikabili Al Hilal ugenini mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, Nasreddine Nabi amesisitiza umakini kwa wachezaji wake kwenye kutumia mapigo huru ikiwa ni kwa kiungo Bernard Morrison na Aziz KI
PATRICK Rweyemamu, Meneja wa Simba ameweka wazi kuwa mafanikio ya timu hiyo huwezi kuyataja na kumuweka pembeni Dk Yassin Gembe. Gembe alitangulia mbele za haki Septemba 2,2022 ambapo taarifa ilitolewa na uongozi wa Simba ilieleza Gembe aliyekuwa daktari wa timu ya wanaume (Senior Team) kilitokea kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Leo Septemba 4, imefanyika ibada…
WALTER Harson aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa KMC ameweza kuwashukuru maosi wake hao na sasa anakwenda kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga. Ujumbe wake ambao amewaandikia mashabiki wake pamoja na KMC unasomeka namna hii:”Imekuwa miaka minne yenye kujifunza na kukua katika tasnia. Nafasi niliyoipata ya kuhudumu kama Mtendaji Mkuu wa Klabu kwa kipindi chote…
MSIMU wa 2022/23 Saido Ntibanzokiza alipachika mabao 17 ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi yake bora. Alitwaa tuzo ya kiungo bora msimu wa 2022/23, mfungaji bora licha ya kuwa ni kiungo mshambuliaji na jina lake lilijumuishwa kwenye kikosi bora cha msimu. Mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga naye alitupia mabao 17 na alitwaa tuzo…
WAKATI mwingine tena umefika ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kufungua zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki kwa lugha ya kigeni ni Happy Boxing Day kwenye anga za michezo kuna wale waliotoa zawadi mapema kwa kufunga mabao mengi. Hapa tunakuletea timu sita ambazo zinasafu kali kwenye upande wa ushambuliaji namna hii:- Azam FC mabao 35…
BAADA ya kukiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 kocha mpya wa timu hiyo amebainisha kuwa wanazidi kuimarika taratibu kutokana na mwendo wa timu hiyo ndani ya uwanja. Mchezo wa kwanza kwa kocha huyo ilikuwa dhidi ya Al Hilal ambao ulikuwa ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya dakika 90…
LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika inaendelea mzunguko wa pili ambapo kuna wababe watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90 za kazi. Ni JKT Tanzania iliyo nafasi ya 6 kwenye msimamo baada ya mechi 23 huku safu ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 18 na ukuta kuruhusu mabao…
MIAMBA wawili ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24 wamefanya yao kwa kuandika rekodi za kuwa nyota wa kwanza kufunga katika mechi za mwanzo kwa kila mzunguko. Kasi ya kiungo Mudathir Yahya kutoka mzunguko wa kwanza imeendelea mpaka mzunguko wa pili akifanya yake ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Mudathir alifunga mabao kwenye mechi…
MKUU wa Programu za Vijana wa kikosi cha Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa ili kufikia malengo kwenye anga la michezo ni lazima kuwepo na uwekezaji kwa vijana. Miongoni mwa vijana waliopita ndani ya Simba ni pamoja na Ibrahim Ajibu aliyepata nafasi ya kucheza Yanga, Jonas Mkude, Said Ndemla hawa walikuwa wanatajwa kuwa kwenye hesabu za…
UEFA kupigwa leo hii kwa mechi mbili kali kwelikweli huku kuna City na Copenhagen na kule kuna Real Madrid dhidi za RB Leipzig nani kuanza vyema kwenye hatua ya 16 bora leo mechi za kwanza?. Tupia mkeka wako pale meridianbet na ujiweke kwenye nafasi za kuwa Milionea. Pep Guardiola Machester City watakuwa ugenini kumenyana dhidi…