RATIBA YA SIMBA FEBRUARI NI NGUMU KWELIKWELI

WACHEZAJI wa Simba wanaratiba ngumu kwelikweli ndani ya mwezi huu mpya wa Februari katika kusaka matokeo kutokana na ratiba kwao kuwa mwendo wa bandika bandua. Mabingwa hao watetezi wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 25 kesho Februari 03 wanakazi ya kuanza kusaka ushindi mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Simba inakumbuka kwamba…

Read More

AZAM FC YAANZA MATIZI, IBENGE ATUMA UJUMBE

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameanza maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge. Azam FC iligotea nafasi ya pili kwenye msimamo msimu wa 2024/25 na kiungo Feisal Salum alikuwa namba moja kwa kutengeneza pasi za mwisho ambazo ni 13 na alifunga mabao manne yote kwa mguu wa kulia. Ibenge ameweka wazi…

Read More

MAKOCHA SIMBA WASHTUSHWA NA UJIO WA PABLO

UJIO wa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye amepewa dili la miaka miwili umewashtua makocha waliokuwa kwenye timu hiyo kwa kuwa walikuwa hawafahamu lolote kuhusu kuwasili kwake Bongo. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa makocha hao ilieleza kuwa Seleman Matola ambaye ni kocha msaidizi pamoja na Hitimana Thiery ambaye alikuwa…

Read More

RWEYEMAMU:MAFANIKIO YA SIMBA HUWEZI MUACHA GEMBE

PATRICK Rweyemamu, Meneja wa Simba ameweka wazi kuwa mafanikio ya timu hiyo huwezi kuyataja na kumuweka pembeni Dk Yassin Gembe. Gembe alitangulia mbele za haki Septemba 2,2022 ambapo taarifa ilitolewa na uongozi wa Simba ilieleza Gembe aliyekuwa daktari wa timu ya wanaume (Senior Team) kilitokea kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Leo Septemba 4, imefanyika ibada…

Read More

MENEJA MPYA YANGA ATOA SHUKRANI ZAKE KMC

WALTER Harson aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa KMC ameweza kuwashukuru maosi wake hao na sasa anakwenda kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga. Ujumbe wake ambao amewaandikia mashabiki wake pamoja na KMC unasomeka namna hii:”Imekuwa miaka minne yenye kujifunza na kukua katika tasnia. Nafasi niliyoipata ya kuhudumu kama Mtendaji Mkuu wa Klabu kwa kipindi chote…

Read More

NTIBANZOKIZA KWENYE REKODI YAKE BONGO

MSIMU wa 2022/23 Saido Ntibanzokiza alipachika mabao 17 ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi yake bora. Alitwaa tuzo ya kiungo bora msimu wa 2022/23, mfungaji bora licha ya kuwa ni kiungo mshambuliaji na jina lake lilijumuishwa kwenye kikosi bora cha msimu. Mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga naye alitupia mabao 17 na alitwaa tuzo…

Read More

TIMU SITA ZENYE SAFU KALI YA USHAMBULIAJI BONGO

WAKATI mwingine tena umefika ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kufungua zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki kwa lugha ya kigeni ni Happy Boxing Day kwenye anga za michezo kuna wale waliotoa zawadi mapema kwa kufunga mabao mengi. Hapa tunakuletea timu sita ambazo zinasafu kali kwenye upande wa ushambuliaji namna hii:- Azam FC mabao 35…

Read More

YANGA WANAZIDI KUIMARIKA

BAADA ya kukiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 kocha mpya wa timu hiyo amebainisha kuwa wanazidi kuimarika taratibu kutokana na mwendo wa timu hiyo ndani ya uwanja. Mchezo wa kwanza kwa kocha huyo ilikuwa dhidi ya Al Hilal ambao ulikuwa ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya dakika 90…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika inaendelea mzunguko wa pili ambapo kuna wababe watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90 za kazi. Ni JKT Tanzania iliyo nafasi ya 6 kwenye msimamo baada ya mechi 23 huku safu ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 18 na ukuta kuruhusu mabao…

Read More

MUDATHIR NA JOB WAMEFANYA HAYA YANGA

MIAMBA wawili ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24 wamefanya yao kwa kuandika rekodi za kuwa nyota wa kwanza kufunga katika mechi za mwanzo kwa kila mzunguko. Kasi ya kiungo Mudathir Yahya kutoka mzunguko wa kwanza imeendelea mpaka mzunguko wa pili akifanya yake ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Mudathir alifunga mabao kwenye mechi…

Read More

HUYU HAPA BOSI MPYA MITAA YA MSIMBAZI

MKUU wa Programu za Vijana wa kikosi cha Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa ili kufikia malengo kwenye anga la michezo ni lazima kuwepo na uwekezaji kwa vijana. Miongoni mwa vijana waliopita ndani ya Simba ni pamoja na Ibrahim Ajibu aliyepata nafasi ya kucheza Yanga, Jonas Mkude, Said Ndemla hawa walikuwa wanatajwa kuwa kwenye hesabu za…

Read More