MANCHESTER UNITED YA ONANA HAIJAONANA

WIKI ya 10 ndani ya Premier League, Manchester United wamechapwa kwenye Dabi na kupoteza pointi tatu dhidi ya Manchester City. Nyumbani walikuwa Uwanja wa Old Trafford walishuhudia ubao ukisoma Manchester United 0-3 Manchester City. Mwamba Erling Haaland alitupia mabao mawili dakika ya 26 na 49 huku Phil Foden akitupia bao moja usiku dakika ya 80….

Read More

MUHIMU KUWA NA MAANDALIZI BORA KILA WAKATI

MWENDELZO mzuri unahitajika kwa wachezaji wote katika mechi ambazo wanacheza. Hali bado haijawa nzuri kwa baadhi ya wachezaji kufikiria mpira ni matumizi ya nguvu kubwa mwanzo mwisho. Ipo wazi kuwa mpira wa mchezo huwezi kuacha kutumia nguvu lakini ni muhimu kuwa makini. Kwenye msako wa pointi tatu ila ni muhimu kuwa makini katika kutimiza majukumu….

Read More

HAPA NDIPO TATIZO LA SIMBA LILIPO

NI umakini kwenye safu ya kiungo, ulinzi na mlinda mlango wa Simba hawa ni tatizo ndani ya mechi tano mfululizo ambapo iliruhusu jumla ya mabao sita huku ile ya ushambuliaji ikitupia mabao 9. Ndani ya dakika 450 ukuta wa Simba unatunguliwa bao moja kila baada ya dakika 75 huku safu ya ushambuliaji ikiwa na hatari…

Read More

HIKI NDICHO ANACHOFIKIRIA NZENGELI WA YANGA

MAXI Nzengeli kiungo wa Yanga amesema furaha yake kubwa kufunga ni kwa ajili ya mashabiki. Kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Singida Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Mkapa alitupia mabao mawili yaliyoipa pointi tatu Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Mchezo unaofuata kwa Yanga ni dhidi ya Simba unatarajiwa kuchezwa Novemba 5 2023 ikiwa…

Read More

BARCELONA YAPASUKA EL CLASICO

MCHEZO wa El Clasico, Barcelona wameshuhudia wakipoteza pointi tatu mazima ndani ya Uwanja wa Camp Nou. Ulikuwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania, (La Liga) uliokuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Barcelona 1-2 Real Madrid ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa miamba hawa wa Hispania kukutana…

Read More

SIMBA YAMCHAPA MBABE WA MTANI

POINTI tatu Simba wamezikomba mbele ya mbabe wa mtani wao wa jadi, Yanga kwa msimu wa 2023/24  ambaye ni Ihefu. Ni mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 28 2023 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-1 Ihefu. Mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 13 likawekwa usawa na Ismail Mgunda…

Read More

CIRCUS FEVER DELUXE SLOTI YA UTAJIRI

Sloti ya Circus Fever Deluxe Kuna michezo mingi inafurahisha na mingine unapoicheza inakuingizia hela, kwenye miaka ya nyuma Sanaa ya maonyesho majukwaani ilikuwa inafanya vizuri sana, Kasino ya mtandaoni Meridianbet inataka kukurudisha nyuma mpaka miaka ya 2000s kupitia sloti ya Circus Fever Deluxe. Sloti ya Circus Fever Deluxe ina mtindo kama wa mazingaombwe lakini kuna…

Read More

FUPA LILILOMSHINDA MTANI, MIKONONI MWA MNYAMA

MBINU za makocha wawili zitakuwa kazini leo kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa. Ni Roberto Oliveira wa Simba dhidi ya Moses Basena wa Ihefu. Oliveira ameliambia amesema kuwa wanahitaji pointi tatu kama ambavyo Basena mrithi wa mikoba ya Zuber Katwila naye anahitaji kuona wakikomba pointi hizo muhimu. Hapa tunakuletea…

Read More

WATATU HAWA HAPA KUWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA YANGA

MAJINA ya nyota watatu wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi yamepenya kuwania tuzo ya mchezaji bora. Yanga hivi karibuni iliingia ushirikiano na NIC kwa ajili ya kutoa zawadi kwa wachezaji wa timu hiyo watakaofanya vizuri ndani ya mwezi husika. Oktoba 28 vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 18 baada ya…

Read More

MZUNGUKO WA KWANZA HESABU KUBWA ZINAHITAJIKA

WAKATI wa mavuno kwa timu shiriki Ligi Kuu Bara na Championship ni mzunguko wa kwanza. Hapa timu ambazo zinafanikiwa kuanza kwa hesabu kubwa huwa zinamaliza vizuri. Kikubwa ambacho kinawafanya wamalize vizuri ni ule mwendelezo wa kujiamini. Kushinda mchezo mmoja kunaongeza hali ya kuendelea kupambana kwa ajili ya mechi inayofuata. Licha ya kwamba mchezo wa mpira…

Read More

AZAM FC DAKIKA 180 NI MATESO

NDANI ya dakika 180, ukuta wa Azam FC umeruhusu mabao sita katika mechi za Ligi Kuu Bara. Ilianza dhidi ya Yanga 3-2 Azam FC huku mabao yote Kwa Azam FC yalifungwa na Aziz KI. Oktoba 28 2023 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 1-3 Namungo FC. Mabao ya Namungo FC yalipachikwa na…

Read More