JUKUMU LA PETER BANDA HILI HAPA

SIMBA imeweka wazi kuwa mara baada ya kiungo mshambuliaji wao, Peter Banda kurejea nchini akitokea Cameroon alipokuwa na kibarua cha kuiwakilisha Malawi kwenye mashindano ya Afcon, moja kwa moja atajiunga na programu za maandalizi ya michezo ijayo hususani mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba imepangwa kwenye Kundi D pamoja na timu za…

Read More

HAWA HAPA WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU

CLEMENT Mzize nyota wa kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wakucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25. Kutoka kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika, vita ni kali kwenye eneo la ushambuliaji huku kukiwa na mzawa mmoja mwenye zali lakucheka na nyavu akiwa na mabao 13. Mzize alipachika…

Read More

SIMBA KAZINI UWANJA WA MAJALIWA

KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuwa uwanjani leo kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Namungo, Aprili 30 2024. Ikumbukwe kwamba katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Uhuru ubao ulisoma Simba 1-1 Namungo FC walipogawana pointi mojamoja. Mchezo uliopita kwa Simba ambao ulikuwa ni wa mwisho kwa Abdelhakh Benchikha kukaa benchi ilikuwa Aprili…

Read More

JUDE NA CR 7 MECHI ZAO 10 WALIVYOKIWASHA

Jude Bellingham amekuwa na mwanzo wa kushangaza pale  Real Madrid, lakini unajua kuna rekodi amevunja baada ya mechi 10 ukimlinganisha na  Cristiano Ronaldo? Ronaldo ndiye lejendi wa Real Madrid akiitumikia klabu hiyo na kuipa mafanikio makubwa ikiwemo rekodi ya kufunga mabao 450 aliyofunga sambamba na kushinda mataji mengi. Real Madrid hakushinda taji lolote msimu wa…

Read More

AZAM FC YAKATA TAMAA ISHU YA UBINGWA

KAIMU Kocha Mkuu wa Azam FC, Kali Ongala amesema kuwa kushindwa kupata matokeo chanya kwenye mechi tatu kunawaondoa kwenye mbio za ubingwa. Matajiri hao wa Dar mzunguko wa pili umekuwa ni mgumu kwao kupata matokeo ambapo walianza kupata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Kagera Sugar na sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya…

Read More

MABINGWA WATETEZI KUTUPA KETE YAO KWA MKAPA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Desemba 11 kitakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya Pili Kombe la Shirikisho dhidi ya Kurugenzi. Nabi hatakuwa kwenye benchi kwa kuwa anatumikia adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu hivyo ni Cedric Kaze ambaye ni kocha msaidizi atakaa kwenye benchi. Tayari…

Read More

IHEFU KUMKOSA BEKI WA KAZI KWA MKAPA

TEMMY Felix, Kocha Msaidizi wa Ihefu amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya kuikabili Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara licha ya kumkosa beki wao wa kazi Juma Nyosso. Ihefu ikiwa imetoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Azam FC inakutana na Simba iliyotoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Singida United….

Read More

RATIBA ZA MECHI KUBADILISHWA ENGLAND

RATIBA za mechi za Ligi Kuu England zinaweza kubadilika kutokana na kutangulia mbele za haki kwa Queens Elizabeth.. Miongoni mwa michezo ambayo ilipaswa kuchezwa Ijumaa ya Ligi Kuu England ambao ni Burnley v Norwich, Tnanmere v Stocport imeweza kughairishwa kutokana na kutangulia mbele za haki kwa Queen Elizabeth. Hii yote inafanywa kutokana na heshima ya…

Read More

KUSANYA MPUNGA WA MAANA NA MECHI ZA UEFA LEO

Kama kijana najua una ndoto nyingi za mafanikio kulingana na hali ya uchumu ilivyo sasa nchini. Basi Meridianbet wanakuambia hivi ukibashiri na wao kutimiza ndoto zako ni rahisi sana kwani huku wamekuwekea kila ambacho unakitaka wewe. Bashiri sasa mechi za UEFA hapa. Hebu tuanze pale katika jiji la Italia ambapo Lazio Rome atakuwa mwenyeji wa…

Read More

DUBE AMEWEKA REKODI HII BONGO

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Yanga Prince Dube aeweka rekodi yake ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi akifungua akaunti yake ya mabao akiwa na uzi wa Yanga baada ya kusajiliwa na timu hiyo akitokea Azam FC. Ipo wazi kwamba Dube ni mchezaji wa kwanza msimu wa 2024/25 kufunga hat trick ndani ya…

Read More

ALIOU CISSE,KOCHA BORA CAF

ALIOU Cisse, amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwaka na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Aliou Cisse, 46, aliiongoza Senegal kushinda kombe lao la kwanza la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon, mapema mwaka huu, baada ya kuishinda Misri kwa mikwaju ya penalti. Pia ameiongoza Simba wa Teranga kufuzu kwa Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu…

Read More