VIDEO:HUYU HAPA CEO MPYA YANGA, RAIS AMZUNGUMZIA
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
AZAM FC imewaua kiume Simba kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation mchezo uliochezwa Uwanja wa Nangwada Sijaona. Ubao umesoma Azam FC 2-1 Simba na kufungashiwa virago mazima kwenye mashindano haya mpaka wakati ujao tena. Ni Lusajo Mwaikenda dakika ya 22 alianza kupachika bao kwa Azam FC kisha usawa ukawekwa…
SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeweka wazi kwamba halijamfungulia kesi, Polisi kiongozi yoyote wa mpira wa miguu. Ilikuwa inaelezwa kuwa Ofisa Mtendaji wa Simba, Barbara Gonzalez amefunguliwa mashataka Polisi na kiongozi mmoja wa TFF. Mashtaka hayo ilielezwa kuwa yamefunguliwa katika kituo Kikuu Cha Polisi, Dar, Januari 20,2022 ambapo Barbara alipokea wito wa kufika kituoni hapo…
HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa kiungo wao mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison ameanza mazoezi ya binafsi ya siri kimyakimya. Mghana huyo yupo nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza maumivu ya nyonga ambayo aliyapata mara baada ya kurejea nchini akitokea kwao Ghana alipokwenda kwa ajili ya matatizo binafsi. Staa huyo ameachwa katika msafara wa…
WAZIRI wa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro amesema kuwa Serikali ipo pamoja na Yanga kuhakisha inapata ushindi kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Merrikh. Leo inatarajiwa kuwa burudani ya Key Dey Septemba 30 ambapo Yanga inatarajiwa kutupa kete yake dhidi ya Al Merrekh. Huu ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika…
WACHEZAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Juni 7 wamefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kuikabili Algeria kesho, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku.
WACHEZAJI mbalimbali nyota wa zamani wakiongozwa na Ronadihno Gaucho na Rais wa zamani wa Liberia, George Weah watashiriki katika mashindano ya vilabu ya Dunia Veterans Club World Championship (VCWC) yaliyopangwa kufanyika mjini, Kigali, Rwanda. Mbali ya wachezaji hao maarufu, pia wachezaji nyota mwingine duniani, Jay Jay Okocha na Andy Cole watashiriki katika mashindano hayo kwa…
Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia Kamati yake ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imetangaza kuahirisha mchezo wa Derby ya Kariakoo kati ya wenyeji, Yanga Sc dhidi ya Simba Sc uliopangwa kuchezwa leo Machi 8, 2025 majira ya saa 1:15 usiku katika dimba la Benjamin Mkapa. Taarifa ya leo Machi 8, 2025…
NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga wana balaa kwenye msako wa pointi tatu huku nyota wao Aziz KI akiwa hashikiki kwenye kucheka na nyavu. Kasi yake imekuwa katika ubora ambapo alitoka kufunga mabao mawili kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar na Desemba 23 alifunga tena bao moja pekee ambalo liliipa pointi tatu muhimu Yanga….
MKURUGENZI wa Wateja wadogo na wa kati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa (wa pili kushoto) leo Januari 27,2022 amekabidhi mfano wa tiketi ya kushuhudia mechi ya fainali ya Mashindano ya AFCON nchini Cameroon kwa washindi watatu. Hao ni wa washindi wa droo ya shinda na TemboCard Viza, ikiwa ni pamoja na Njama Ayoub Matumbo,Mwizegwa…
AMEANDIKA Jembe Moja ya sifa ya mashabiki wa Simba ni utaratibu au upole… Lakini pia wana sifa ya ukorofi wanapochoka. Hili la kumkataa mwamuzi Kayoko si zuri katika mchezo wetu wa soka. Lakini tujiulize ni kwanini linatokea na kweli mwamuzi huyo amekuwa akikosea sana mechi zinazoihusu timu hiyo? Kayoko mwenyewe pia anaweza kujitafakari kwamba amekuwa…
CESAR Manzoki nyota wa Vipers SC ya Uganda alikuwa kwenye hesabu za kutua ndani ya Simba ila mpango huo umekwama, siri ya Simba kuachana na nyota huyo imebainishwa kwamba ni dau pamoja na kupata timu mpya nchini China.
MAWAKALA wa Straika wa Manchester City, Gabriel Jesus wamesafiri mpaka nchini Uingereza kwa ajili ya kuhakikisha wanakamilisha dili la straika huyo ambaye anatajwa kutua ndani ya Arsenal kutokea Manchester City. Mabingwa hao wa Premier wanataka pauni milioni 50 kwa Jesus, huku wakitarajia kurejesha fedha hiyo ili kufidia matumizi yao kwa, Kalvin Phillips wa Leeds…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapa tano mastaa wake ikiwa ni pamoja na Clement Mzize, Duke Abuya, Dickson Job kwa kushirikiana kuanza na taji la Ngao ya Jamii kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo uliochezwa Agosti 11 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-1 Azam FC…
MUDA wa kazi umefika kwa kuwa kulikuwa na ule wa maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23 ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kufika tamati wa maandalizi ya msimu uliopita inamaana kwamba sasa tunakwenda kuanza jambo lingine na kutokana na namna ambavyo timu zimejipanga litakuwa ni jambo la maana kweli. Tayari ratiba imeshatolewa hivyo inamaanisha…
REKODI zinaonyesha kwamba Azam FC wametwaa Kombe la Mapinduzi mara nyingi kuliko mpinzani wake Simba. Hivyo Azam FC ni wababe mbele ya Simba kwenye Kombe la Mapinduzi kila wanapokutana kwenye mchezo wa fainali. Azam FC imetwaa taji la Kombe la Mapinduzi mara tano huku Simba ikiwa imetwaa Kombe la Mapinduzi mara tatu. Hii inakuwa ni…
Simba hi FA’ Masihara nini,Real Bamako kazi wanayo ndani ya Championi Jumatano.