WASHINDI PROMOSHENI YA TWENZETU DUBAI NA PARIMATCH WAPATIKANA
WASHINDI wawili wa promosheni ya Twenzetu Dubai na Parimatch inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch wamepatikana na watasafiri Dubai Jumatatu ijayo. Washindi hao ni Daniel Kasanga, mkazi wa Ruvuma na Mohamed Salim mkazi wa Kinondoni, Dar es Salaam kwa mujibu wa Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Parimatch, Ismail Mohamed. Ismail amesema kuwa…