CITY YAPIGA MTU KIFURUSHI CHA WIKI

MANCHESTER City kwenye mchezo wa UEFA Champions League wamemchapa RP Leipzig mabao 7-0. Uwanja wa Etihad ulisoma hivyo na kuwapa nafasi ya kusonga mbele kwa jumla ya mabao 8-0. Ni Erling Haaland alitupia kambani dakika ya 22 kwa mkwaju wa penalti, 24,45,53 na 57 mwamba aliwapa tabu Sana. Ilkay Gubdogan alitupia dakika ya 49 na…

Read More

HII YA YANGA IMEENDA MABORESHO YANAHITAJIKA

HATIMAE SportPesa Wiki ya Mwananchi 2023 imeenda na kweli imekuwa hivyo kwa namna ambavyo walikuwa wamepanga. Mpangilio mzima wa matukio na namna ambavyo mashabiki walijitokeza kuona burudani hizo. Hatua moja kila wakati mbali na mchezo wa kimataifa wa kirafiki ambao ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-0 Kaizez Chiefs bado kazi imeonekana….

Read More

KINAWAKA KOMBE LA DUNIA KUUKARIBISHA DESEMBA, USIWE NYUMA BURUDIKA NA MERIDIANBET

Ni siku nyingine tena ya kushuhudia mbungi ikipigwa kwenye viwanja mbalimbali Qatar, ni mechi za kufunga mwezi Novemba na kuukaribisha mwezi wa Sikukuu Desemba. Jumatano tulivu ya kumtazama Kylian Mbappe, Messi na Robert Lewandowsk,pia ni Alhamis njema kabisa ya kuziona Ubelgiji, Hispania, Ujerumani na Croatia zikitoa burudani ya mocho na roho. Usiwe nyuma burudika ukibeti…

Read More

WATATU SIMBA KUIKOSA BIASHARA UNITED LEO KWA MKAPA

NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo wa ligi. Simba ikiwa nafasi ya tatu inatarajiwa kumenyana na Biashara United Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa ligi wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Kwa mujibu wa Pablo ni Aishi Manula ambaye…

Read More

BOCCO NGOMA BADO NZITO

NAHODHA wa Simba, John Bocco ndani ya Ligi Kuu Bara ngoma bado ni nzito kwenye upande wa kucheka na nyavu. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 na pasi mbili za mabao. Nahodha huyo mzawa ambaye ni mfungaji bora wa muda wote akiwa amefunga mabao zaidi ya 100 msimu huu kagotea…

Read More

MABINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO KUANZA NA KURUGENZI

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation, Yanga kwenye mchezo wao wa raundi ya Pili wataanza na Kurugenzi FC. Yanga ni mabingwa watetezi ambao walitwaa ubingwa huo uliokuwa mikononi mwa watani zao wa jadi Simba. Kikosi hicho kipo chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi akifanya kazi kwa ukaribu na Cedric Kaze ambaye ni msaidizi….

Read More

MASHABIKI MNASTAHILI PONGEZI,WACHEZAJI KAZI IPO

MUHIMU sana kuwapa pongezi mashabiki kwa namna wanavyojitokeza kwenye mechi za kimatafa ambazo wawakilishi wa Tanzania wanatupa kete pale Uwanja wa Mkapa. Huzuni na furaha huwa zinaishi kwenye mioyo yao hivyo wanastahili pongezi kutokana na kujitoa kwao kila wakati hakika ni moyo mzuri na unapaswa kuendelea. Tuliona wakati Yanga wakishinda dhidi ya TP Mazembe wengi…

Read More

MERIDIANBET YAFIKA KIGAMBONI SIKU YA UTU DUNIANI

Meridianbet wamesambaza Utu mitaa ya Kigamboni katika siku ya Utu duniani baada ya kufika eneo hilo na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa familia duni. Mara kwa mara mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao haswa zile zenye uhitaji kwelikweli, Ndicho walichokifanya leo baada ya kufika kwenye familia zenye uhitaji…

Read More

MASHUJAA FC SIO KINYONGE KUIKABILI SIMBA SC

BENCHI la ufundi la Mashujaa FC limebainisha kuwa limefanya maandalizi mazuri kuelekea mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-1 Simba, Steven Mukwala…

Read More

KIPA CAMARA ATUMA UJUMBE HUU

MLINDA mlango namba moja wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Moussa Camara amesema kuwa bado kazi inaendelea kimataifa watapambana kufanya kweli na kupata matokeo katika mechi zijazo. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos, uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 27 2024 Camara aliokoa penati dakika…

Read More

MORRISON BADO HAJAANDIKA BARUA KAMA ALIVYOELEKEZWA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mpaka sasa haujapokea barua ya mchezaji wao Bernard Morrison kama ambavyo alielekezwa kufanya hivyo kabla ya kusimamishwa. Februari 4,2022 Simba ilitoa taarifa rasmi ya kumsimamisha Morrison kwa kile kilichoelezwa kuwa ni sababu ya utovu wa nidhamu. Ofisa Habari wa Simba,Ahmed Ally amesema:”Tulimsimamisha Morrison kutokana na tuhuma za nidhamu ambazo…

Read More

Sloti ya Capital City Derby Meridianbet

Jiandae kwa tukio la michezo la sloti linalokusudiwa kuwafurahisha mashabiki wote wa michezo ya kubahatisha ya kasino ya mtandaoni! Uwe shabiki wa timu yenye jezi nyekundu au nyeusi na nyeupe, timu yako uipendayo itakusaidia kushinda bonasi za kushangaza na Mamilioni kutoka Meridianbet. Karibu kwenye tamasha la mpira wa miguu – cheza Capital City Derby! Chagua…

Read More