HESABU ZA YANGA KIMATAIFA ZIPO HIVI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema bado kazi haijaisha kwenye mechi za kimataifa hivyo wataendelea kufanya maandalizi kuwa imara kwa mechi zinazofuata. Yanga ni timu ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania kutinga hatua ya robo fainali ikiwa na mchezo mmoja mkononi huku watani zao wa jadi Simba wakiwa na kibarua Machi 2 kutambua hatma…

Read More

MENEJA MPYA YANGA ATOA SHUKRANI ZAKE KMC

WALTER Harson aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa KMC ameweza kuwashukuru maosi wake hao na sasa anakwenda kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga. Ujumbe wake ambao amewaandikia mashabiki wake pamoja na KMC unasomeka namna hii:”Imekuwa miaka minne yenye kujifunza na kukua katika tasnia. Nafasi niliyoipata ya kuhudumu kama Mtendaji Mkuu wa Klabu kwa kipindi chote…

Read More

SIMBA WATAMBA KUIVUA UBINGWA YANGA MAPINDUZI

KUELEKEA mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi kesho Jumanne, uongozi wa Simba umetamba kuwa kikosi chao kiko tayari kwa ajili ya mashindano hayo na malengo yao makubwa ni kuwavua ubingwa watani zao wa jadi Yanga. Michuano ya Kombe la Mapinduzi ilianza rasmi jana Jumapili kwa mchezo mmoja kati ya Namungo dhidi…

Read More

KWA KUITUNGUA UNITED,DAKA APEWA TANO NA RAIS

HAKAINDE Hichilema, rais wa Zambia amempongeza kijana wake anayekipiga ndani ya Leicester City, Patson Daka kwa kuwatungua Manchester United kwenye ushindi wa mabao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England.   Hichilema ameweka wazi kuwa kazi ambayo imefanywa na Mzambia huyo ni nzuri na wanajivunia kuwa na kijana ambaye anatimiza majukumu yake kwa umakini jambo…

Read More

NYOTA WATANO SIMBA WATAPIGWA PANGA

SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki Muivory Coast, Pascal Serge Wawa. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanya vizuri msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali.  Tayari uongozi wa Simba umeanza kufanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji wapyawatakaowasajili.Mmoja wa mabosi wa Simba, ameliambia Spoti Xtra kuwa,  wachezaji hao baadhi wataachwa kutokana na umri mkubwa walionao….

Read More

CHEZA SLOTI YA FASHION NIGHT USHINDI X500

Hadithi za kale zina mafundisho mengi sana ndani yake, baadhi ya tungo hizo zilikuwa na lengo la kubadili mitazamo ya watu na nyingine ni kuburudisha, kuna hii hadithi ya Mfalme mmoja aliyetawala Falme za Kiarabu alikuwa ni mtu mpenda sifa na majivuno haswa kwa wafanyakazi wake na watu aliokuwa akiwapatia msaada. Moja ya watu ambao…

Read More

ABRAMOVICH ANATAJWA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

BILIONEA Roman Abramovich inatajwa kwamba ameanza kuuza vitu ambavyo anavimiliki ndani ya England kwa bei ya hasara na anajaribu pia kuweza kuuza umiliki wa timu ya Chelsea kwa dau la euro bilioni 3 na milioni 200 kwa hofu ya kuweza kuzuiliwa vitu vyake kwa kuwa ni raia wa Urusi. Miongoni mwa vitu ambavyo anamiliki na…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII

NI fainali ya Ngao ya Jamii, Tanga ikiwa ni mchezo wa Kariakoo ndani ya Tanga kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Roberto Oliveira ametambulisha jeshi lake atakaloanza nalo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Kennedy Juma Che Malone Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin John…

Read More

MUDA ASEPA NA TUZO YAKE FEBRUARI

KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA NAMNA HII

WACHEZAJI wa Simba kesho Mei 24 wanatarajiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Juma Mgunda wana kazi ya kuongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili. Kutinga fainali kwa Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika kumefanya mabadiliko hayo ndani ya ligi. Ikumbukwe…

Read More

PACHA WA INONGA, SIMBA KIMEELEWEKA

SIMBA imefikia makubaliano mazuri na beki wa kati anayekipiga Cape Town City ya nchini Afrika Kusini, Mkongomani, Nathan Idumba. Idumba anasajiliwa na Simba kwa ajili ya kucheza pacha na Mkongomani mwenzake Henock Inonga ambaye ndiye beki tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Mhispania, Franco Pablo.   Kutua kwa Idumba katika kikosi cha Simba, kutafungua njia…

Read More

CHAMA AKUBALI KUREJEA SIMBA

ALIYEKUWA kiungo wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, amebainisha kwamba, yupo tayari kurudi katika kikosi hicho endapo atatakiwa kufanya hivyo.Chama aliyecheza Simba kwa misimu mitatu kuanzia 2018 hadi 2021, msimu huu amejiunga na RS Berkane ya Morocco.   Akiwa Simba, kiungo huyo alipata mafanikio makubwa ikiwemo kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 na kiungo bora 2020/21. Simba msimu huu imeanza kwa kasi ya kawaida huku kati ya upungufu ambao umekuwa ukibainishwa ni kukosekana kwa Chama na Luis Miquissone ambao waliondoka mwishoni mwa msimu uliopita.   Akizungumzia uwezekano wa kurudi Simba, Chama…

Read More