
LIVE: RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA NA KUHITIMISHA BUNGE LA 12 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akihutubia na Kuhitimisha Shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Dodoma , leo tarehe 27 Juni, 2025.