Mbagala Rangi 3 Yafurahia Ujio wa Meridianbet

Nancy Ingram ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya ubashiri Tanzania, Meridianbet akiongozana na timu yake nzima leo hii walifika Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa miamvuli kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Ikiwa bado hali ya hewa haijakaa vizuri kutokana na hizi mvua ambazo zinaendelea kunyesha Meridianbet wameona kuna haja ya kutoa miamvuli kwa wafanyabiashara kwaajili ya…

Read More

JEMBE JIPYA AZAM FC HILI HAPA LATAMBULISHWA

RASMI Azam FC imemtambulisha nyota mpya katikakikosi hicho ambaye ni kipa. Taarifa ya matajiri hao wa Dar imeeleza kuwa wameinasa saini ya nyota huyo kutoka Ghana, Abdulai Iddrisu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Bechem United ya kwao Ghana. Kazi imeanza kwa mabosi hao ambao waliweka wazi kuwa usajili wao utakuwa na mtikisiko ndani ya…

Read More

YANGA YAMALIZANA NA MASHINE TANO ZA MOTO

YANGA rasmi imemalizana na mashine tano ambazo muda wowote zitatambulishwa mara baada ya kufikia muafaka mzuri katika usajili wa dirisha dogo. Dirisha hilo lilifunguliwa mapema Desemba 16, mwaka huu na Yanga imepanga kufanya usajili mkubwa katika kukiimarisha kikosi chao. Wakati wakipanga kusajili wachezaji hao watano, pia wamepanga kuwaacha baadhi ya wachezaji wake Ditram Nchimbi, Paul…

Read More

AHMED:TUKIENDA AFRIKA KUSINI TUNARUDI TUKIWA NUSU FAINALI

BAADA ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba SC wamesema wanakwenda Afrika Kusini kumalizia kazi. Jumapili Aprili 17, Simba iliibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Mkapa, Dar, Jumapili ijayo watarudiana nchini Afrika Kusini ambapo mshindi wa jumla atakwenda…

Read More

CONGO BRAZZAVILLE YAONDOLEWA CHAN

Congo Brazzaville imeondolewa kushiriki michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu. Michuano hiyo itafanyikia nchini Kenya, Uganda na Tanzania katika tarehe ambazo bado hazijawekwa wazi. Congo Brazaville waliokuwa Kundi D pamoja na Nigeria, Sudan na Senegal wnafasi yao imechukuliwa na Equatorial Guinea. Kutolewa kwao kunafuatia madai kwamba walimchezesha mchezaji…

Read More

AUBA MAJANGA,AVULIWA UNAHODHA

KLABU YA Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu England imemvua unahodha Pierre-Emerick Aubameyang na hatacheza kwenye mechi ya ligi dhidi ya West Ham kesho Jumatano usiku. Raia huyo wa Gabon kwake inakuwa ni majanga kuvuliwa kitambaa hicho pamoja na mwendo wake kuwa wa kusuasua kwa msimu wa 2021/22. “Kufuatia ukiukaji wake wa nidhamu wiki iliyopita, Pierre-Emerick Aubameyang…

Read More

RASHFORD, OSIMHEN, MBAPPE HAWAZUILIKI

SAPRAIZI za kutosha zilijiri wikiendi iliyopita ndani ya ligi tano bora Ulaya. Hii ni kwa namna mambo yalivyoonekana katika viwanja  tofauti kwenye ligi za Bundesliga, La Liga, Serie A, Premier League na Ligue 1. Huko Ulaya vita ilikuwa kali lakini kuna mastaa walionekana kuendelea kutisha kwa kuzibeba timu zao kama Marcus Rashford, Victor Osimhen, Kylian…

Read More

THANK YOU YA KWANZA KWA KOCHA BONGO

SINGIDA Fountain Gate imeweka wazi kuwa Hans Pluijm hataendelea kuwa kwenye benchi la ufundi msimu wa 2023/24. Pluijm amepewa mkono asante Agosti 29 ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa sasa timu hiyo ya Singida Fountain Gate itakuwa chini ya Mathias Lule ambaye ni kocha msaidizi. Mchezo wa…

Read More

MASTAA AZAM KUIFUATA LIBYA, 7 WABAKI

 KIKOSI cha wachezaji 25 wa Azam FC wanatarajiwa kukwea pipa kesho Oktoba 6,2022 kuelekea nchini jijini Benghazi, Libya kesho Alhamisi saa 11.25 Alfajiri. Miongoni mwa mastaa watakaokuwa kwenye msafara huo ni pamoja na kipa namba moja Ali Ahmada,Lusajo Mwaikenda,Bruce Kangwa, James Akaminko.  Safari hiyo ni kwa ajili ya kwenda kuikabili Al Akhdar ya Libya kwenye mchezo…

Read More

TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI

Mtu wangu wa nguvu nataka kusema na wewe kuhusu mchongo wa kupiga hela tu, na kila siku huwa nakuja na machimbo na mbinu kibao za kutengeneza mtonyo wako na kujiinua kiuchumi. Fuatilia story hii nzuri yenye mbinu za kutengeneza pesa haswa kwa njia ya kasino ya mtandaoni. Moja ya sehemu unayoweza kutengeneza mkwanja mrefu ni…

Read More

INIESTA NA MESSI WATAJWA BARCELONA

JOAN Laporta, rais wa Barcelona amebainisha kuwa jambo lolote linaweza kutokea kuhusu suala la Lionel Messi pamoja na Andre’s Iniesta kurejea ndani ya Camp Nou.   Tayari Barcelona inayoshiriki La Liga imemrejesha staa wao wa zamani beki wa makombe Dani Alves ambaye alikuwa ni chaguo la Kocha Mkuu, Xavi Hernandez. Alves mwenye miaka 38 amesaini…

Read More

KIJANA ASHINDA JACPOT YA BILIONI KUTOKA SPORTPESA

KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa imemtangaza mshindi wa Jackpot ya shilingi 265,780,681 TZS David Mwenge Nyantora (27). David ambaye ni mwajiriwa alibashiri kwa usahihi mechi 13 kati ya 13 kwenye mechi za Supa Jackpot ambayo inamgawanyiko wa Jackpot za mechi 17,16,15,14 na 13 iliyopata mshindi. Akimtangaza mshindi huyo wa awamu ya kumi Mwenyekiti wa…

Read More