
ZIMETUNGULIWA ZAIDI YA MABAO 10 BONGO
KUFAHAMU ukweli kisha ukaongopa sio utani hiyo inaumiza, muhimu kutibu tatizo lilipo kuwa bora kwenye mechi za ushindani, hivyo tu basi. Kwenye mwendo wa data tunakuja na timu ambazo zimeokota mabao zaidi ya 10 kwenye mechi ambazo walishuka uwanjani namna hii:- Mtibwa Sugar Uwanja wa Manungu huu wanautumia kwa mechi za nyumbani wakiwa na ngome…