SUPU YANGA YAKUTOSHA KUTOKA SPORTPESA

UHAKIKA kuelekea kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi kutakuwa na supu ya maana kutoka kwa SportPesa wadhamini wakuu wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Yanga Agosti 4 inatarajiwa kuwa ni kilele cha Wiki ya Mwananchi ambapo ni siku maalumu ya utambulisho kwa benchi la ufundi la Yang, wachezaji wapya na wale waliokuwa…

Read More

DILI LA KIBU D NA KRISTIANSUND BK LIMEKUFA

Dili la Kibu D na timu ya ligi kuu ya Norway,Kristiansund BK,limekufa Baada ya Simba kumtaka mchezaji huyo arejee nchini Mara moja. Mwanzoni Simba walikuwa kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na Kristiansund BK,na walikuwa tayari kumuachia mchezaji huyo Ila ghafla Simba wakawatumia email Kristiansund BK ya kuwajuza Kibu hauzwi Tena…hii ni Baada ya kuhisi…

Read More

MUTALE ANA KITU AKIJIBU ATAKUWA MKUBWA

LEGEND Saleh Ally Jembe ni miongoni mwa wale waliokuwa Misri kushuhudia maandalizi ya Simba kuelekea kwenye Ligi Kuu Bara 2024/25 Jembe amezungumzia mchezo mzima kwa kuandika namna hii:- Kisukuma Mutale, maana yake ni mkubwa, ila unatakiwa kuivuta kidogo Mutaale… Huyu Mutale wa Simba kiumbo si mkubwa lakini mambo yake ni makubwa na atakuwa gumzo ninaamini….

Read More

DUBE AFUNGUKIA ISHU YA AZIZ KI, CHAMA

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Prince Dube ameweka wazi kuwa kucheza timu moja na wachezaji wenye uwezo ikiwa ni Clatous Chama, Aziz Ki kunamuongezea hali ya kujiamini na kupambana zaidi. Dube ingizo jipya ndani ya Yanga kwenye eneo la ushambuliaji utambulisho wake ulifanyika usiku wa Julai 7 ikiwa ni zawadi ya 7/7 kwa Wananchi. Katika mchezo…

Read More

MASHABIKI WA YANGA WAGAWA MAHITAJI MBALIMBALI KWA WAFUNGWA KATIKA GEREZA LA ISUPILO

MASHABIKI wa Tawi la Yanga Mjini Mafinga huko Iringa, wametoa huduma ya kuwakarimu wahitaji na waishio katika mazingira magumu wakiwemo Watoto yatima pamoja na kuwatembelea wafungwa katika Gereza la Isupilo Wilayani Mufindi. Mashabiki hao wamegawa mahitaji mbalimbali kwa wafungwa katika Gereza la Isupilo ikiwemo mafuta ya kupikia , Sabuni miche 75, Karanga debe moja na…

Read More

NAHODHA HUYU ANA ZALI NA MAKOMBE, MEDALI

MSIMU wa 2023/24 nahodha Bakari Mwamnyeto alikuwa kiongozi wakitwaa taji la NBC, CRDB na katika Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea hatua ya robo fainali. Mbali na makombe anaingia kwenye orodha ya nahodha aliyevaa medali ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya Yanga kuwa washindi wa pili. Nyota huyo ameweka wazi kuwa wanatambua mashabiki…

Read More

MGAO WA MILIONI 2,500,000/= ZA EXPANSE KASINO

Sehemu pekee unayoweza kupata bonasi ya ukaribisho hadi 300% ni Meridianbet pekee, jisajili upate bonasi hiyo kucheza michezo ya Expanse na kubashiri michezo mingi. Pia kuna shindano la Expanse ambalo unaweza kujishindia Mgao wa Milioni 2,500,000/= endapo utaibuka mshindi. Cheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse Studio. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse…

Read More

FOUNTAIN GATE KAMA MBWAI IWE MBWAI

HAWANA jambo dogo Fountain Gate kutokana na kuweka wazi kwamba wana jambo lao kubwa ndani ya Agosti 2024 ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajia kuanza Agosti 16 2024. Ikumbukwe kwamba kwa msimu wa 2023/24 taji la ligi lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi pia taji la CRDB Federation…

Read More

YANGA YAFICHUA KILICHO NYUMA YA USHINDI

USHINDI wa mabao 4-0 waliopata Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini unawapa taji la kwanza la Toyota Cup 2024 huku wakiweka wazi kuwa siri ya ushindi huo ni kuona kila kitu ni muhimu kwao kushinda ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Kaizer Chiefs inanolewa na Nasreddine Nabi ambaye aliwahi kuifundisha Yanga kabla ya mikoba…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA MBAGALA LEO

Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kutoa msaada leo katika eneo la Mbagala Kingugijijini Dar-es-salaam katika moja ya familia zenye uhitaji. Huu umekua utaratibu wa miaka mingi wa mabingwa hao wa kubashiri kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii yao haswa kwenye watu wenye uhitaji, Leo wamefika kwenye familia ya mzee Yusuph Mdogwa mwenye ulemavu wa macho na kurejesha tabasamu…

Read More