Yakoub na Feisal hatihati kuikosa Nigeria
Nyota wawili wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Yakoub Suleman ambaye ni kipa na kiungo Feisal Salum kuna hatihati wakaukosa mchezo wa leo dhidi ya Nigeria. Tanzania inatarajiwa kutupa karata yake ya kwanza katika AFCON 2025 itakuwa dhidi ya Nigeria leo Desemba 23,2025. Sababu ya Yakoub kuukosa mchezo wa leo inatajwa kwamba alipata…