AZAM FC WANA TAJI MOJA MKONONI LIKIYEYUKA NDO BASI TENA

HAKUNA Prince Dube, hakuna Ayoub Lyanga hata Abdul Suleiman, ‘Sopu’ naye ndani ya kuwania tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Wakati mwingine tuzo huwa zinakuwa ni kipimo cha ubora na muda mwingine ni kipimo cha kuongeza hasira za mapambano. Haina maana kwamba wachezaji wa Azam FC hawana ubora haina maana kwamba waliotajwa kwenye…

Read More

YANGA KAZINI, MWAMBA HUYU HAPA MAJANGA

 MENEJA wa Yanga SC, Walter Harson ameweka wazi kuwa maandalizi yanaendelea vizuri nchini Afrika Kusini kwa ajili ya msimu wa 2024/25 kwa kuwa wachezaji wapo vema. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ipo kambini Afrika Kusini kwa maandalizi ya mechi za kitaifa na kimatafa ambapo Yanga inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Leo Julai 24…

Read More

ALIYEWATUNGUA SIMBA KUIBUKIA IHEFU

NYOTA wa Coastal Union mwenye rekodi ya kuwatungua kwa pigo la penalti Simba msimu wa 2022/23 anatajwa kuibukia ndani ya Ihefu ya Mbeya. Ni Yanga ambao ni mabingwa hawajafungwa kwa penalti kwa kuwa katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar Djigui Diarra wa Yanga aliokoa hatari hiyo. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mabao 17 iliyofungwa ni bao…

Read More

VIWANJA VINNE KUJENGWA SIMBA,MPANGO KAZI UPO HIVI

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa wana mpango wa kuwa na viwanja vinne kwenye eneo la Simba Mo Arena,Bunju kwa ajili ya matumizi ya timu hiyo. Jana, Barbara aliongozana na  msanifu majengo, (Architect) eneo la Bunju kukagua mipaka ya eneo ambalo litatumika kwenye ujenzi kabla ya Bodi ya Wakurugenzi kukutana Ijumaa ili kumpitisha…

Read More

CHAMA LA SIMBA KAMILIKAMILI UTURUKI

JULAI 23 rasmi kipa Jefferson Luis Szerban de Oliveira alitambulishwa ndani ya Simba na yupo kambini Uturuki akiwa na wachezaji wengine na kufanya chama la Simba kuwa kamili gado. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Simba walikuwa mashuhuda wa mataji yote yakienda kwa watani zao wajadi Yanga. Yanga ilitwaa taji la Ngao ya Jamii, Kombe…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA KMC

MACHI 19, Yanga ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC Uwanja wa Mkapa na hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Sure Boy Nkane Chico Ushindi Feisal Salum Fiston Mayele Akiba Mshery Bacca Kibwana Yassin Mauya Balama Ambundo Kaseke Makambo

Read More

YANGA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA

NASREDDINE Nabi Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ado mchezo haujaisha kwenye anga la kimataifa licha ya kupoteza kweye fainali ya kwanza. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-2 USM Alger ya Algeria. Bao pekee la Yanga limefungwa na Fiston Mayele ambaye anafikisha jumla ya mabao 7 kwenye anga za…

Read More

FAINALI YA YANGA V AZAM KUPIGWA ZANZIBAR

RASMI Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba fainali ya CRDB Federation Cup inatarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ni Uwanja wa New Amaan Complex unatarajiwa kutumika kwenye fainali ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Yanga ambao ni mabingwa watetezi watakabiriana na Azam FC ambapo kwenye fainali iliyopita walicheza na…

Read More

KOCHA SIMBA AFUNGUKA “TUNA RATIBA NGUMU”

  PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi.   Jana Jumamosi, Simba ilitarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro. Kabla ya mchezo huo, Simba imetoka kupoteza mbele ya Mbeya City kwa kufungwa bao 1-0….

Read More

WAARABU WA YANGA WAPIGIWA HESABU KWA MKAPA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AlAhly, Waarabu wa Misri. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inapeperusha bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa hatua ya makundi. Ikumbukwe kwamba ilitinga hatua hiyo kwa kuwafungashia virago Al…

Read More

YANGA YASHINDA 3-2 MAFUNZO FC,BALAMA ATUPIA

MECHI ya kirafiki imekamilika Uwanja wa Azam Complex leo Machi 30 ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mafunzo FC. Mabao yamefungwa na Mapinduzi Balama dk ya 19 Heritier Makambo dk ya 52 na lile la ushindi limefungwa na Fiston Mayele dk ya 71 kwa mkwaju wa penalti ilikuwa ni kwa upande…

Read More

MTIBWA SUGAR HAINA HOFU NA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa hawana hofu na mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Azam Complex, Mei 3 2024. Ipo wazi kwamba mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja…

Read More