ISHU YA KISINDA TUISILA KURUDI YANGA IPO HIVI

WINGA machachari wa RS Berkane ya nchini Morocco, Tuisila Kisinda ameonekana kuwagawa mabosi wa timu hiyo, katika mipango ya kutaka kumrejesha kikosini hapo msimu ujao. Hivi karibuni tetesi zilienea za winga huyo kurejeshwa Yanga katika msimu ujao kwa kile kilichoelezwa kuachana na klabu yake ya Berkane. Yanga ilimuuza Kisinda msimu uliopita kwenda Berkane kwa dau…

Read More

YANGA V SIMBA, HII GEMU HAINA MWENYEWE

WEKA ngoma ipigwe wanasema tumewafuata waliotangulia ni kueleka mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga  V Simba. Kila timu ina nyota wapya ikiwa ni pamoja na Jonas Mkude, Skudu Makudubela na Maxi Nzengeli kwa Yanga, Luis Miquissoe, Willy Onana kwa Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga waliitungua mabao 2-0 Azam FC kisha Simba wao walipenya kwa…

Read More

UZI WA SIMBA KUZINDULIWA KILELENI, KILIMANJARO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzi mpya wa msimu wa 2023/24 upo tayari na utazinduliwa Kilimanjaro. Kikosi cha Simba kimeweka kambi Uturuki na kwa sasa maandalizi kuelekea msimu mpya yanaendelea ikiwa ni pamoja na suala jezi mpya. Ipo wazi kuwa watani zao wa jadi Yanga wao uzi upo mtaani baada ya uzinduzi wao kukamilika….

Read More

REKODI ZA MASTAA WA SIMBA NA YANGA HIZI HAPA

BADO kidogo kitaumana Uwanja wa Mkapa kwa watani wa jadi kukutana huku kwa sasa wachezaji wa timu zote mbili wakiwa kwenye msako wa kuongeza rekodi. Aprili 30, timu hizo zinatarajiwa kukutana na ule mchezo wa mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu bila kufungana na kila mmoja akasepa na pointi mojamoja. Sasa rekodi za mastaa wa timu…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MTIWA SUGAR

LEO Juni 29 mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga wanakamilisha mzunguko wa 30 kwa kucheza na Mtibwa Sugar. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Mshery Kibwana Bryson Mwamnyeto Bacca Feisal Farid Jesus Ambundo Kaseke Mayele Akiba Johora Boxer Yassin Shaibu Balama Ushindi Nkane Makambo Yusuph

Read More

SIMBA WAMESHINDA ILA CHA MOTO WAMEKIONA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba leo wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Godld baada ya dakika 90 kukamilika lakini cha moto wamekiona. Mchezo wa leo haukuwa mwepesi kwa Simba wala Geita Gold kwa kuwa timu zote mbili zilikuwa zinaupiga ule mpira wa darasani huku Geita Gold wakicheza kwa kujiamini wakati…

Read More

KOCHA YANGA NA SAFARI YAKE YA MWISHO

KOCHA bora Desemba mechi yake ya mwisho ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-0 Kagera Sugar wakakomba pointi tatu muhimu na kukaa namba moja kwenye msimamo kwa saa 24. Ni Sead Ramovic hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kufunga…

Read More

MECHI YA KISASI LEO

WABABE wawili leo wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi. Ni Ihefu itawakaribisha Azam FC kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Kila timu itaingia kwa hesabu za kusaka pointi tatu na kuandika rekodi mpya ambapo Ihefu wao wanahitaji kulipa kisasi cha kutunguliwa mchezo wa mzunguko…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V USGN

 NI Aprili 3,2022 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Simba v USGN kuchezwa saa 4:00 usiku. Simba ipo kundi D ikiwa na pointi 7 na USGN ina pointi 5 ikiwa nafasi ya nne zote zinahitaji pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa leo. Ule wa awali walipokutana ugenini walitoshana nguvu…

Read More

PELE AWATOA HOFU KUHUSU AFYA YAKE

LEGEND kwenye ulimwengu wa soka ambaye anatajwa kuwa mchezaji bora wa muda woteraia wa Brazil Pele amewaomba mashabiki na wale wanaomfuatilia wasiwe na mashaka kuhusu afya yake. Nyota huyo kupitia mitandao ya kijamii ameandika ujumbe ambao unaeleza kwamba anaendelea vizuri na matibabu anaamini atarejea kwenye ubora wake. Pele alipelekwa hospitali ya Sao Paulo tangu Jumanne…

Read More

BANDA KUIKOSA TIMU NGUMU RUVU SHOOTING

KIUNGO wa Simba Peter Banda ataukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting kwa kuwa bado hajawa fiti. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa maandalizi ya mchezo huo yamekamilika na wanatambua wanakwenda kukutana na timu ngumu. “Kila kitu kuhusu mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting…

Read More

SIMBA NDANI YA MBEYA KUIKABILI IHEFU

KIKOSI cha Simba kimewasili Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate Mbeya Jumatatu, Aprili 9,2023. Simba imetoka kupata ushindi wa mabao 5-1 Ihefu kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Mchezo huo wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa…

Read More

MAJEMBE HAYA MAWILI KUIBUKIA YANGA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga wamemalizana na nyota wawili kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23 kwenye ligi na mechi za kimataifa. Ni Stephan Aziz KI ambaye ni mali ya ASEC Mimosas yeye ni kiungo mshambuliaji na Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs yeye ni raia wa Zambia ambaye ni mshambuliaji. Sababu kubwa ya kuweza kunasa…

Read More

VIDEO: JEMBE AMEZUNGUMZIA ISHU YA MAFANIKIO YA SIMBA NA KUACHWA BALEKE NA PHIRI

LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari wa habari katika masuala ya michezo Jembe ameweka wazi kuwa dunia inabadilika haraka sana huku mafanikio yakiwa kwenye sehemu tofautitofauti akibainisha kuhusu Kibegi kama kiliwasaidiai kuwaongezea kitu inawezekana kuwa sehemu ya mafanikio. Amebainisha kuwa ni muhimu wa kubadili mawazo kwa sasa kwa kuangalia kwamba kama ni waati uliopita…

Read More