SIMBA NA YANGA WAMEVUNA WALICHOKIPANDA

KUSHINDWA kutumia makosa ambayo mpinzani wako anafanya kwenye mpira ni sababu namba moja itakayofanya timu ishindwe kupata matokeo. Na yule ambaye hatafanya makosa ana uhakika mkubwa wa kupata kile ambacho anastahili hivyo ipo wazi kwamba matokeo hayapaswi kubebwa na mashabiki kwenye mifuko yao. Baada ya Kariakoo Dabi kukamilika Uwanja wa Mkapa tumeona baadhi ya mashabiki…

Read More

OLEKSANDR USYK V ANTHONY JOSHUA II: MUINGEREZA AJ ASHINDWA KATIKA JARIBIO LA KUTWAA TAJI YA UBINGWA WA DUNIA

Jitihada za Muingereza Anthony Joshua kunyakua tena mataji ya uzito wa juu yaliyounganishwa ya dunia yalimalizika kwa mafadhaiko huku Oleksandr Usyk akitoa matokeo mazuri na kushinda kwa uamuzi wa uliowagawanya waamuzi huko Jeddah, Saudi Arabia. Katika pambano lililoitwa ‘Rage on the Red Sea’, Joshua aliyekuwa na ukakamavu, mwenye umri wa miaka 32, alionyesha nia ya…

Read More

ASTON VILA YAICHAPA BRIGHTON

NDANI ya dakika 26 Brighton imeshuhudia ikitunguliwa mabao matatu dhidi ya Aston Villa. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Villa Park umesoma Aston Villa 6- 1 Brighton. Ni Ollie Watkins amepachika hat trick kwa mabao ya dakika ya 14, 21, 64, Pervis Estupinan alipachika bao dakika ya 26. Jacob Ramsey ni dakika…

Read More

AMETIMULIWA KAMBINI KISA MAMELODI

Gilberto ametimuliwa kwenye kambi ya timu ya taifa ya Angola kabla ya mechi yao ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Eswatini na Cameroon kutokana na kuchelewa kuwasili kambini na bila kuomba ruhusa baada ya kuitwa Kwenye kikosi hicho Gilberto amekuwa akihusishwa Kwa ukaribi zaidi kutua MAMELODI huku pia Yanga wakitajwa Kwa mbaaaaliiiii.

Read More

SABABU YA RUVU SHOOTING KUSHUKA DARAJA HII HAPA

KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting, Mbwana Makata amesema kuwa miongoni mwa sababu ambazo zimefanya timu hiyo kushindwa kubaki ndani ya ligi ni pamoja na suala la usajili na ubora wa wachezaji. Mei 12 ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Simba na kuifanya iwe timu ya kwanza kushuka daraja, msimu ujao itashiriki Championship. Imegotea nafasi…

Read More

MALALE HAMSINI YATIMIA BAADA YA MUDA MREFU

RASMI uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara umethibitisha kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu wa 2021/22. Ikumbukwe kwamba Januari 11,2021 uongozi wa Polisi Tanzania ulibainisha kuwa kocha huyo Malale Hamsini ataendelea kuwa kocha wa timu hiyo baada ya taarifa kuripotiwa kwamba amefutwa kazi. Hatimaye yametimia leo…

Read More

MANARA:SIHITAJI KUONEWA HURUMA

MSEMAJI wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa hahitaji kupata huruma kutoka kwenye mamlaka kutokana na kuweza kupewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili pamoja na adhabu ya faini ya milioni 20 bali anahitaji haki. Julai 21,Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) iliweka wazi kuwa imemfungia Manara miaka miwili pamoja na adhabu ya milioni 20…

Read More

AZAM FC TATU ZAKE ZOTE UGENINI

KIKOSI cha matajiri wa Dar, Azam FC kina kete tatu ndani ya Septemba kwenye msako wa pointi tatu muhimu huku zote wakiwa ugenini kwenye dakika zote 270. Timu hiyo ilianza kwa kutupa kete mbili ikiwa Uwanja wa Azam Complex iliambulia pointi nne kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar na sare ya kufungana…

Read More

SIMBA WASEMA MAYELE ALIKUWA MZURURAJI UWANJA WA MKAPA

AHMED Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Simba amesema kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele hakuweza kutamba mbele ya Joash Onyango na Henock Inonga. Aprili 30,2022 Mayele ambaye ni kinara wa utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 12 aliweza kubanwa asiweze kutetema kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliokamilika kwa sare…

Read More

CHEZA MERIDIANBET BONANZA, VUNA MIZUNGUKO YA BURE

Kuna wakati unakaa kimya, ukitazama na kutafakari ndoto zako za siku moja kuingia kasino, kushinda kwa kishindo, kufurahia kila mzunguko. Lakini muda, umbali, au hali vinakuzuia. Sasa, Meridianbet imefuta vizingiti vyote. Imeleta kwako Meridianbet Bonanza, mchezo unaokukaribisha kwenye ulimwengu wa ushindi, bila kusubiri kesho. Meridianbet Bonanza si mchezo wa kawaida. Ni mchanganyiko wa teknolojia ya…

Read More

VIGOGO SIMBA WAKOMALIA ISHU YA CHAMA

VIGOGO wa Kamati ya Usajili ya Simba, chini ya Mtendaji Mkuu (C.E.O.) wa timu hiyo, Barbara Gonzalez, wameona isiwe shida na kuchukua maamuzi ya kupanda ndege kumfuata kiungo wao mchezeshaji Mzambia Clatous Chama anayekipiga RS Berkane ya nchini Morocco. Kiungo huyo anawindwa vikali na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo lililofunguliwa Desemba16, mwaka huu kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho. Simba imepanga kukiboresha…

Read More