HAWA HAPA KUKUTANA NA YANGA CAF

BAADA ya kuondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Klabu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika. Leo Oktoba 18,2022 inatarajiwa kuchezwa droo kwa ajili ya mechi hizo za mtoano ambapo Yanga itakutana na mojawapo kati ya timu 16 ambazo zimeshinda hatua ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga…

Read More

KISA PIRA PAPATUPAPATU, SIMBA YABADILI GIA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utarejea ukiwa imara zaidi na mwendo mwingine kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutinga hatua ya makundi. Ikumbukwe kwamba Simba ilifanikiwa mpango kazi kutinga hatua ya makundi kwa faida ya mabao ya ugenini dhidi ya Power Dynamos kwenye mchezo wa kwanza ubao uliposoma Power Dynamos 2-2…

Read More

SINGIDA BIG STARS HAO NUSU FAINALI

SINGIDA Big Stars imekata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation kwa ushindi wa mabao 4-1 Mbeya City Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Liti ikiwa ni hatua ya robo fainali. Watupiaji wa Singida Big Stars ni Bruno Gomes katupia kambani mara mbili Bright Adjei kamba moja Sawa na Francy Kazadi….

Read More

HESABU ZA YANGA KIMATAIFA ZIPO HIVI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema bado kazi haijaisha kwenye mechi za kimataifa hivyo wataendelea kufanya maandalizi kuwa imara kwa mechi zinazofuata. Yanga ni timu ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania kutinga hatua ya robo fainali ikiwa na mchezo mmoja mkononi huku watani zao wa jadi Simba wakiwa na kibarua Machi 2 kutambua hatma…

Read More

MZEE WA KUCHETUA KARUDI, KUWAKOSA SIMBA

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison amezidi kuwa imara hali yake na tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambao waligawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-2 Azam FC na Morrison aliyeyusha dakika 90 lakini…

Read More

KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More

SIMBA KAMILI KUWAKABILI WAARABU/ ORODHA HII HAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao dhidi ya Al Masry na wameanza na mazoezi muda mfupi baada ya kufika Misri ili kuwa imara kwenye dakika 90 za ushindani. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa jambo ambalo linawafanya wafanye maandalizi…

Read More

KWA KUITUNGUA UNITED,DAKA APEWA TANO NA RAIS

HAKAINDE Hichilema, rais wa Zambia amempongeza kijana wake anayekipiga ndani ya Leicester City, Patson Daka kwa kuwatungua Manchester United kwenye ushindi wa mabao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England.   Hichilema ameweka wazi kuwa kazi ambayo imefanywa na Mzambia huyo ni nzuri na wanajivunia kuwa na kijana ambaye anatimiza majukumu yake kwa umakini jambo…

Read More

MOLOKO,NGUSHI WAREJEA KUIVAA AZAM FC

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kuna wachezaji ambao wamerudi kwenye kikosi baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha. Kesho Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC ambao nao pia waazihitaji pointi hizo. Kaze amesema:”Wapo baadhi ya wachezaji walikuwa nje kutokana na majeruhi lakini kwa sasa wameanza mazoezi…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga wanatupa kete yao dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Djigui Diarra Fred Nondo Bacca Maxi Kibabage Sure Boy Mudathir Yahya Mzize Aziz KI Okra Hawa hapa wachezaji wa akiba wa Yanga Mshery, Kibwana, Farid, Aucho, Mkude, Shekhan,…

Read More