Hiki hapa kikosi cha Simba SC vs Azam FC

SIMBA SC itakaribishwa na Azam FC kwenye mchezo wa NMB Mapinduzi Cup ikiwa ni hatua ya nusu fainali Januari 8,2026. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker ni Mzizima Dabi inakwenda kupigwa Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar kwa wababe wawili kusaka ushindi. Kikosi cha kwanza ni Hussen Abel, Duchu, Mligo, Chamou, De Reuck, Kante, Jean Ahoua,…

Read More

Yanga Yakamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Depu Kutoka Poland

Klabu ya Yanga inadaiwa kufikia makubaliano na klabu ya Radomiak Radom ya Poland katika uhamisho wa mshambuliaji Laurindo Dilson Maria Aurélio “Depu”, raia wa Angola, ambaye anatarajiwa kutua rasmi mitaa ya Jangwani. Depu anasajiliwa kuchukua nafasi ya Andy Boyeli, ambaye amerejea katika klabu yake, huku Yanga ikilenga kuimarisha eneo la ushambuliaji kuelekea michezo ijayo ya…

Read More

Beki wa kazi amerejea Yanga SC

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amerejea uwanjani baada ya kuwa nje akipambania kurejea kwenye ubora. Ni Yao Attohoula ambaye alikuwa nje kwa muda wa miezi 8 bila kucheza mchezo wa ushindani licha ya kuanza mazoezi bado hakuwa kamili kucheza mechi uwanjani. Alirejea rasmi uwanjani Januri…

Read More

Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup

Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup mchezo mkali unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 8,2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Wababe hawa kutoka bara kila mmoja anaingia uwanjani akitoka kupata ushindi kwa bao la jioni mbele ya mpinzani hatua ya makundi. Simba SC ilipambana mbele ya Fufuni FC dakika ya 90 bao la ushindi lilifungwa…

Read More