COASTAL UNION KUMENYANA NA AZAM FC

WANAUME wa kazi Azam FC na Coastal Union wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka mshindi atakayetinga fainali kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali dhidi ya Azam FC. Ni Uwanja wa CCM Kirumba mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa timu hizo mbili kuwa na kazi kusaka ushindi. Ni mchezo unaotarajiwa kumtoa…

Read More

FUNGAFUNGA BADO MBILI SIMBA

SIMBA inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 nafasi ya tatu ikiwa sawa pointi na Azam FC iliyo nafasi ya pili tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungwa. Michael Fred ambaye Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally anapenda kumuita fungafunga amebakisha mabao mawili kufikia rekodi ya mwamba Jean Baleke na…

Read More

LIGI KUU BARA: DODOMA JIJI 0-1 SIMBA

FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Dodoma Jiji 0-1 Simba Goal Michael Fred dakika ya 7 DODOMA Jiji wapo nyumbani Uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakisaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Simba ikiwa ugenini nayo hesabu zake ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo ambao una ushindani mkubwa….

Read More

TAIFA STARS INAZIDI KUIMARIKA TARATIBU

LEGEND kwenye upande wa uandishi wa Habari za Michezo na Burudani Bongo, Saleh Ally, Jembe ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania ya Taifa Stars inazidi kuimarika taratibu na mechi za kirafiki zitakuwa na faida hapo baadaye kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa. Jembe amebainisha kuwa licha ya Stars kuanza kwa kuchechemea kwenye mchezo…

Read More

DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU SIMBA

BENCHI la ufundi la Dodoma Jiji limebainisha kwamba limefanya maandalizi mazuri kukabiliana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Ipo wazi kwamba mchezo wa leo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kusaka pointi tatu muhimu kutokana na nafasi ambazo timu hizo zipo. Simba inapambana kujinasua kutoka…

Read More

YANGA MWENDO WAO KUIKABILI IHEFU

MABINGWA watetezi wa taji la CRDB Federation Cup wana kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ihefu katika mchezo wa hatua ya nusu fainali, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga ilianza raundi ya pili kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 5-1 Hausing, Yanga 5-0 Polisi Tanzania, Dodoma Jiji 0-2 Yanga…

Read More

MCHEZO WA FRUIT O RAMA ULIPO USHINDI WA KASINO

Karibu kwenye burudani ya kasino ya mtandaoni isiyozuilika yenye kutawaliwa na alama za matunda! Ukipanga alama hizi kwa mfululizo kamili wa ushindi, utashinda zawadi za kushangaza. Ni wakati wa kuanza safari hii isiyosahaulika kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni! Jisajili Meridianbet hapa. Maelezo ya Msingi Fruit O Rama ni kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet wenye safu…

Read More

AZAM FC WALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA

CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…

Read More

DEAR MSOMI KAZI KALI KUTOKA KWA NYASUBI

DEAR msomi ni zawadi ya mwamba Nacha A Sound From Nyasubi anakwambia mafanikio na elimu haviusiani unajikuta unajikuta dalali na ulisomea urubani, nyumbani huwezi kaa sio vimbetwa. Kazi kubwa ya ubongo wa mwamba anayefanya vema katika muziki wa kizazi kipya akiwa na mkali kutoka Morogoro Stamina halafu kiitikio ni sauti ya Mkwawa. Stamina anasema shepu…

Read More

HUYU HAPA MRITHI MIKOBA YA BENCHIKHA SIMBA

INAELEZWA kuwa kocha Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge anatajwa kuja kuchukua mikoba ya Abdelhak Benchikha ambaye amebwaga manyanga ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Simba inanolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola ambapo mchezo wao ujao ni dhidi ya Dodoma Jiji unatarajiwa kuchezwa Mei 17 2024 Uwanja wa Jamhuri,…

Read More

YANGA WAIPA TANO SPORTPESA KWA KUWATOA KWENYE MAGUMU

Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said ameweka wazi kuwa ndani ya miaka saba wakiwa na udhamini wa SportPesa wamefanya mengi ambayo yanaingia katika sehemu ya mafanikio. Rais huyo amebainisha kuwa kampuni ya SportPesa imewatoa Yanga kwenye wakati mgumu ambapo hawakuwa na mdhamini yoyote hivyo wakafanya mengi makubwa ndani ya miaka mitano na mkataba ulipoisha kampuni…

Read More